Majibu ya bondia Manny Pacquiao kuhusu kustaafu ngumi
Mcheza ngumi raia wa Ufilipino ambaye amejizolea umaarufu duniani Manny Pacquiao amesema kwasasa anatarajia kustaafu mchezo huo April 2016 baada ya kumaliza pambano lake na bondia Timothy Bradley.
Bondia huyo tayari ameshinda mataji nane ya ubingwa wa dunia kwa sasa nia yake ni kuwania nafasi za juu za uongozi katika nchi yake ya Ufilipino anaamini ana nafasi kubwa ya kuiongoza nchi hiyo.
Pacquiao atapanda ulingoni kupambana na bondia huyo kutoka America kwa mara ya tatu April 9, 2016 hii...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Bondia Manny Pacquiao anastaafu ngumi? haya ni majibu yake…
Staa wa ngumi duniani raia wa Ufilipino Manny Pacquiao amesema anatarajia kustaafu mchezo huo April 2016 baada ya kumaliza pambano lake na bondia Timothy Bradley. Bondia huyo ambaye tayari ameshinda mataji nane ya ubingwa wa dunia kwa sasa ana ndoto za kuwania nafasi za juu za uongozi katika nchi yake ya Ufilipino anaamini ana nafasi […]
The post Bondia Manny Pacquiao anastaafu ngumi? haya ni majibu yake… appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Bongo521 Oct
Picha: Bondia Manny Pacquiao akicheza ligi ya mpira wa kikapu Ufilipino
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tcHbm9mz1iQ/VZt75SMzEeI/AAAAAAAHnaY/1Svdmlmr22c/s72-c/_84094296_mayweather_returers_body.jpg)
news alert: bondia floyd mayweather avuliwa mkanda kwa kushindwa kulipa ada ya pambano wake na Manny Pacquiao
![](http://4.bp.blogspot.com/-tcHbm9mz1iQ/VZt75SMzEeI/AAAAAAAHnaY/1Svdmlmr22c/s640/_84094296_mayweather_returers_body.jpg)
Pacquiao mwezi Mei Mwaka huu.Uamuzi huo umekuja baada ya bondia huyo mwenye umri wa miaka 38 kushindwa kuilipa shirikisho la ndondi la WBO ada ya dola laki mbili kabla ya Julai 3, mwaka huu.Hata hivyo Mayweather mwenyewe alitegemewa kuutema mkanda huo, kufuatia ushindi wa pointi dhidi ya Pacquiao. Mmarekami mwenzie Timothy Bradley ndiye ataepewa mkanda...
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Amir Khan kupigana na Manny Pacquiao
LAS VEGAS, MAREKANI
BAADA ya bondia, Floyd Mayweather, kuachana na pambano la Amir Khan na kumchagua Andre Berto, Khan ameamua kuomba pambano dhidi ya Manny Pacquiao.
Mayweather anatarajia kupigana pambano lake la mwisho Septemba 12 mwaka huu dhidi ya Berto, awali Khan alimuomba Mayweather kupambana katika pambano hilo lakini Mayweather aliamua kumchagua Berto.
Kutokana na hali hiyo, Khan anatarajia kupambana na Pacquiao mwanzoni mwa mwaka 2016.
Mwandaaji wa pambano hilo ambaye ni wakala wa...
10 years ago
Bongo521 Feb
Done Deal: Floyd Mayweather na Manny Pacquiao kuzichapa May 2
10 years ago
Vijimambo03 May
FLOYD MAYWEATHER AMSHINDA MANNY PACQUIAO KWA POINT
![Floyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao Fight](http://www1.pictures.zimbio.com/gi/Floyd+Mayweather+Jr+v+Manny+Pacquiao+jJ81WrLMzsml.jpg)
![Floyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao Fight](http://www3.pictures.zimbio.com/gi/Floyd+Mayweather+Jr+v+Manny+Pacquiao+46wSWXF9nTil.jpg)
![Floyd Mayweather Jr. v Manny Pacquiao Fight](http://www4.pictures.zimbio.com/gi/Floyd+Mayweather+Jr+v+Manny+Pacquiao+LLKkIfGhW6Cl.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-FxrWMrAPzgivnrD0QJRsy2lWHGR-8KZR-GjAzc2F7MFiPwqERxg0jsiEdaVb1ELMJbliVZpcvXoAfRiPfGADr*Hzs4hnffo/1.jpg?width=650)
FLOYD MAYWEATHER AMCHAPA MANNY PACQUIAO KWA POINTI