Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Refarii wa mchezo wa masumbwi nchini Ally Bakari Champion afunga ndoa

Refarii wa mchezo wa masumbwi nchini Ally Bakari Champion  akiwa na mke wake Aisha Chilumba  baada ya kuowa hivi karibuni maeneo ya Vingunguti Dar es salaam
Ally Bakari Champion akiozeshwa
Refarii wa mchezo wa masumbwi nchni kushoto akiwa na mke wake Aisha Chilumba  baada ya kuowa hivi karibuni maeneo ya Vingunguti Dar es salaam

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ALLY BAKARI CHAMPION ACHUKUWA JIKO

Refarii wa mchezo wa masumbwi nchni kushoto akiwa na mke wake Aisha Chilumba baada ya kuowa hivi karibuni maeneo ya Vingunguti Dar es salaamAlly Bakari Champion akiozeshwaRefarii wa mchezo wa masumbwi nchni kushoto akiwa na mke wake Aisha Chilumba baada ya kuowa hivi karibuni maeneo ya Vingunguti Dar es salaam

 

11 years ago

Michuzi

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' aipiga jeki Uhuru Gym

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwa na baadhi ya mabondia wanaofanya mazoezi katika GYM ya Uhuru uwanja wa Basket, Kariakoo kutoka kushoto ni Atanasi kibwe,Omari Bai, Raymond Mbwago ,Mussa Sindano Vifaa na kocha wa GYM hiyo Mohamed Chipota  Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akikabidhi vifaa vya mchezo wa masumbwi Gloves pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo kwa Kocha wa GYM ya Uhuru uwanja wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Blogger mkongwe nchini Adam Mzee afunga ndoa na Bi. Lilian Malekia

IMG-20150503-WA0031

Mrs.Adam Mzee  mara baada kufunga pingu za maisha.

Marafiki wakiwa katika picha ya pamoja na maharusi,waliosimama kutoka kushoto ni,Merry Geofrey,Sheila Simba,Hafidh Kido ,John Bukuku,Suleiman Mwenda,Micky, Said Mwishehe,Sharifa, Neema Mwangomo,Abdala Kiluke,Mringi Petro ,katika Harusi ya Adam Mzee iliyofanyika katika Ukumbi wa Kivukoni,Serena Hotel.

Adam Mzee ni mtumishi wa Chama Cha Mapinduzi Makao Makuu ,Idara ya Itikadi na Uenezi,na ni mmiliki wa  blog maarufu ya Kamerayangu na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mwigizaji mkongwe nchini Lucy Komba afunga ndoa. Tazama picha za harusi

Hatimaye yule mwigizaji mkongwe nchini Lucy komba amefunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi aishie nchini Denmark aliyefahamika kwa jina la Stanley,. Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii nchini lucy ameandika

"..Asante Mungu kwa siku hii nzuri na muhimu sana katika maisha yangu, wengi hawakutaka nifikie siku hii, kunawengine walinuna, kunawengine waliniombea mabaya, kuna wengine walichukia na wengine waliambiana wanichunie walifikiri bila wao Mungu hawezi kuifanikisha siku...

 

9 years ago

StarTV

Wladmir Klitschko, Tyson Fury ulingoni Jumamosi hii kwa mchezo wa masumbwi

 

  Mabondia wa uzito wa juu duniani Wldmir Klitschko wa Ukraine na Tyson Fury wa England jumamosi hii kupanda ulingoni huko Dusseldorf nchini Ujerumani huku pambano hilo la raundi 12  likisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki.

Klitschko  amabaye amkuwa bingwa wa dubnia wa uzani huo tangu 2006 akiwa amepigana mara 27  na kushinda mara 23 atakuwa akitetea  taji lake la WBA, IBF na WBO dhidi ya Fury anayetamba kumtandika bondia huyo wa Ukraine.

Hali ilikuwa uya utulivu wakati mabondia hao...

 

10 years ago

GPL

RIYAMA ALLY ALILIA NDOA!

Brighton. Masalu Mwigizaji mwenye jina kubwa ndani ya sanaa ya maigizo Bongo, Riyama Ally amekiri kutamani maisha ya ndoa huku akishikilia alichokisema ‘nasubiri wakati wa Mungu’....Soma zaidi===>http://bit.ly/1LvZaod

 

11 years ago

GPL

NASSARI AFUNGA NDOA

Joshua Samwel Nassari (kulia) akiwa na mke wake Anande Nko. Mbunge Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Samwel Nassari amefunga ndoa na Anande Nko kwenye Kanisa la Pentekoste lililopo Kilinga, Arumeru ikifuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika Viwanja vya Usa-River Academy jirani na Hoteli ya Ngurdoto. Sherehe hiyo ilianza mishale ya saa 7:00 mchana ambapo watu wote walialikwa wakiwemo ndugu, marafiki, jamaa na wananchi wote...

 

11 years ago

GPL

MWAIKIMBA AFUNGA NDOA KIMYAKIMYA

Mshambuliaji wa Azam FC, Gaudence Mwaikimba akiwa na mke wake Rukia (Mary) Ally Seif. Na Khadija Mngwai MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Gaudence Mwaikimba, ameamua kuachana na ukapera baada ya hivi karibuni kufunga pingu za maisha na mzazi mwenziye, anayejulikana kwa jina la mama Genevieve. Gaudence Mwaikimba akiwa na mke wake Rukia (Mary) Ally Seif baada ya kufunga… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani