Mwigizaji mkongwe nchini Lucy Komba afunga ndoa. Tazama picha za harusi
Hatimaye yule mwigizaji mkongwe nchini Lucy komba amefunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi aishie nchini Denmark aliyefahamika kwa jina la Stanley,. Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii nchini lucy ameandika
"..Asante Mungu kwa siku hii nzuri na muhimu sana katika maisha yangu, wengi hawakutaka nifikie siku hii, kunawengine walinuna, kunawengine waliniombea mabaya, kuna wengine walichukia na wengine waliambiana wanichunie walifikiri bila wao Mungu hawezi kuifanikisha siku...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 May
Blogger mkongwe nchini Adam Mzee afunga ndoa na Bi. Lilian Malekia
![](http://3.bp.blogspot.com/-57w1g2v_4j8/VUZQsJuhWqI/AAAAAAAAHJs/QBcuetEc4V4/s1600/2.jpg)
Mrs.Adam Mzee mara baada kufunga pingu za maisha.
![](http://3.bp.blogspot.com/-6llrmIG7_Dk/VUZQssEVUXI/AAAAAAAAHJw/TBRfeCUmjPg/s1600/3.jpg)
Marafiki wakiwa katika picha ya pamoja na maharusi,waliosimama kutoka kushoto ni,Merry Geofrey,Sheila Simba,Hafidh Kido ,John Bukuku,Suleiman Mwenda,Micky, Said Mwishehe,Sharifa, Neema Mwangomo,Abdala Kiluke,Mringi Petro ,katika Harusi ya Adam Mzee iliyofanyika katika Ukumbi wa Kivukoni,Serena Hotel.
Adam Mzee ni mtumishi wa Chama Cha Mapinduzi Makao Makuu ,Idara ya Itikadi na Uenezi,na ni mmiliki wa blog maarufu ya Kamerayangu na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwMSPRFbI7aYU9uc8FPHzmYpQwb3PPp-Bs47JL2Yq035edYTon6uW8tNoDrL4kcZPJh7NhlToIlix-ot0PGpfqrj/lucy.jpg)
LUCY KOMBA: HARUSI BONGO, SHEREHE MAMTONI
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
Lucy Komba: Harusi yangu itakuwa ‘simple’ sana
MWANADADA anayefanya vizuri katika filamu, Lucy Komba, amesema harusi yake inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni itakuwa ya kawaida sana ‘simple’ kuliko harusi nyingine za wasanii ambazo zimewahi kufanyika. Akizungumza na safu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtHGyNSEW0ZEsIibvlNKLUXO-eDWPkqbg7byRZv92AoLAFowR-kYcgIhn*5onmdxh5ks0JIISkg2xF5SaeUPNDkp/BACKAMANI.jpg)
NDOA YA LUCY KOMBA MIZENGWE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPOXF*VFLZM20sRL3CmXW2HDwL2o09s-K1Jst9X2mb0YoPRohMqGxxN*Co3b6U3HvzLccpJ4YvflV85wwGkR4OK1/lucy.jpg)
NDOA YA LUCY KOMBA MIKOSI 3
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68zWWZsqlic8uXMC2RLByrpZ3W5XNakTomXMxvnllSkY24ghmDs1*daRnLbp68Xu-KeLzP9oHtOc5kAdtn0RO8MV/s.jpg?width=650)
LUCY KOMBA ANYOA RASTA KISA NDOA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWyIAqoEpzad2Pd14kNSJSlouCxoFi0GAlOSlre*AWXgUNFEcEyWng96ZTwMT*GG9GbEnchbM*WhQRa7xHXh*IZ-/wastara.jpg?width=650)
WASTARA AMPA SOMO LA NDOA LUCY KOMBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG-nIQLmsjQ-2hWgCeSz-QwJX70NMd7k*Nq1fg9qNJfdHsf4MilUXcy5CHbyeZLZr0V0wXsiF9mphHn65uAtPTi2/BACKAMANI.jpg?width=650)
BI HARUSI AFUNGA NDOA, ATOROKA
10 years ago
Bongo Movies07 Jul
Lucy Komba Awashukia Walioiponda Picha Hii
Staa wa Bongo Movies alieamishia makazi ughaibuni, Lucy Komba ambaye ameolewa na ni mama wa mtoto mmoja amewatolea uvivu baadhi ya watu walioishambulia picha yake hiyo hapo juu aliyoiweka kwenye ukurasa wake mtandaoni.
Lucy alianza kwa kuweka picha hiyo ya kuchora ambayo ndiyo ilileta utata na kuibua majibizano ya maneno kati ya watu ambao waliona kuwa picha hiyo haina shida na wengine wengi wakisema picha hiyo haina maadili na ukizingatia yeye ni mke wa mtu.
“Mshamba anataka attention...