WASTARA AMPA SOMO LA NDOA LUCY KOMBA
![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWyIAqoEpzad2Pd14kNSJSlouCxoFi0GAlOSlre*AWXgUNFEcEyWng96ZTwMT*GG9GbEnchbM*WhQRa7xHXh*IZ-/wastara.jpg?width=650)
Stori Na: Gladness Mallya SIKU chache baada ya msanii mkongwe wa filamu Bongo, Lucy Komba kuolewa, msanii mwenzake, Wastara Juma ameibuka na kumpa somo la ndoa huku akimtaka kuwa mvumilivu na msiri katika maisha hayo mapya. Staa wa filamu za Kibongo,Wastara Juma. Akistorisha na paparazi wetu, Wastara alisema maisha ya ndoa yanahitaji uvumilivu na usiri mkubwa hivyo Lucy anatakiwa kuzingatia hayo kwani ndiyo siri ya kudumu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD51*lK8yeUDCt1ueJDcqeTAvp5scvmcVkOLwjcDBapjUgHZCfrGcNimz0uFg3rwOZ0G4O7CxCRwRY6iYyQkpCft3K/lucy1.jpg?width=650)
LUCY KOMBA AMPA BOZI MAKAVU LIVE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1VJR9F-zilrobrYaHBhGKGnhM1V5ggIv6Vi9i2OGMsN5a3dscgFyRz6Dage24bGOkyDKARG0XnmM6Cz2O6jpBVxyf4REwehY/MZUNGU.jpg)
LUCY KOMBA AMPA MUMEWE SHARTI LA KUZAA NAYE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPOXF*VFLZM20sRL3CmXW2HDwL2o09s-K1Jst9X2mb0YoPRohMqGxxN*Co3b6U3HvzLccpJ4YvflV85wwGkR4OK1/lucy.jpg)
NDOA YA LUCY KOMBA MIKOSI 3
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtHGyNSEW0ZEsIibvlNKLUXO-eDWPkqbg7byRZv92AoLAFowR-kYcgIhn*5onmdxh5ks0JIISkg2xF5SaeUPNDkp/BACKAMANI.jpg)
NDOA YA LUCY KOMBA MIZENGWE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68zWWZsqlic8uXMC2RLByrpZ3W5XNakTomXMxvnllSkY24ghmDs1*daRnLbp68Xu-KeLzP9oHtOc5kAdtn0RO8MV/s.jpg?width=650)
LUCY KOMBA ANYOA RASTA KISA NDOA
10 years ago
Bongo Movies09 Sep
Mwigizaji mkongwe nchini Lucy Komba afunga ndoa. Tazama picha za harusi
Hatimaye yule mwigizaji mkongwe nchini Lucy komba amefunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi aishie nchini Denmark aliyefahamika kwa jina la Stanley,. Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii nchini lucy ameandika
"..Asante Mungu kwa siku hii nzuri na muhimu sana katika maisha yangu, wengi hawakutaka nifikie siku hii, kunawengine walinuna, kunawengine waliniombea mabaya, kuna wengine walichukia na wengine waliambiana wanichunie walifikiri bila wao Mungu hawezi kuifanikisha siku...
9 years ago
Bongo Movies15 Nov
Wastara Ampa Ampa Kichapo Bondi
KAZI ipo! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kumpa kichapo kikali aliyekuwa mwandani wake, Bond Suleiman baada ya kupatwa na kile kinachosemwa kuwa ni kupandisha majini.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, kupandisha majini hayo kulitokana na jinsi ambavyo mwanaume huyo amekuwa akimtendea mpenziwe huyo, ambaye inadaiwa katika kupandisha huko, alitoa maelekezo ya namna anavyotakiwa kufanya.
“Nakuambia ilikuwa varangati siku hiyo, Wastara alipandisha majini akiwa na Bond, walikuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/po*b5pjX*enUW8mbMyqmnyOJZ4PQteRetaCGhXcKqaNHRuub4gEOjihfxLHAbZexFGTtSlnwmtV*EdzNhHtgGHBcPpfqk-CF/lucy.jpg)
DOKII AMZAWADIA KIWANJA LUCY KOMBA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGZPNrD1HF1fXHLZ73hLmqvLnfcZaSVXaaV6eO9hD*f5AfuqAOjakw2YFQ0TVczYVJjDqpPsh-vJbQSsvsFSQ3bH/1.jpg?width=650)
LUCY KOMBA ATENGWA BONGO MOVIE