LUCY KOMBA AMPA MUMEWE SHARTI LA KUZAA NAYE

Stori: Imelda Mtema SIKU chache baada ya kufunga ndoa, mwigizaji Lucy Komba amempa sharti mumewe ambaye ni raia wa Dernmark, Janus Stanley Landrock kwamba hatozaa naye hadi atakapokamilisha suala la uraia wake. Mwigizaji Lucy Komba akipozi. Akizungumza na paparazi wetu, Lucy alisema amemwambia mumewe akamilishe taratibu zote za nchini kwao ili yeye awe na uhalali wa kuishi nchini humo ndipo wazae watoto. “Unajua napenda...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
WASTARA AMPA SOMO LA NDOA LUCY KOMBA
10 years ago
GPL
LUCY KOMBA AMPA BOZI MAKAVU LIVE
11 years ago
GPL
LUCY KOMBA AMSHANGAA AUNT KUISHI MBALI NA MUMEWE
10 years ago
GPL
MTABIRI AMPA JIDE UHAKIKA WA KUZAA
11 years ago
GPL
NDOA YA LUCY KOMBA MIKOSI 3
11 years ago
GPL
NDOA YA LUCY KOMBA MIZENGWE
11 years ago
GPL
MAYA: SIJAONA WA KUZAA NAYE
11 years ago
GPLLUCY KOMBA: NIACHENI NIDENDEKE NA MZUNGU
11 years ago
GPL
LUCY KOMBA ANASWA NA PETE YA UCHUMBA