MTABIRI AMPA JIDE UHAKIKA WA KUZAA
![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdgaR*bpAma351JeJHxg*Wp1u1wrjB-Fmh663pHnY5nUahZDravvt9HkV4pNFKjSsbgwJ5lYDtmHPmRK6o8DRzQZy/XXXX.jpg?width=650)
Gladness Mallya na Gabriel Ng’osha Habari njema! Kufuatia wimbi la baadhi ya mastaa kulia na tatizo la ugumba, mtabiri maarufu Bongo, Maalim Hassan Yahaya Hussein, amemtabiria mema staa wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Jide’ kwamba endapo atatafuata tiba mbadala, atapata mtoto mwaka huu. Staa wa Bongo Fleva, Judith Wambura ‘Jide’. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Maalim Hassan alisema kwamba, huu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1VJR9F-zilrobrYaHBhGKGnhM1V5ggIv6Vi9i2OGMsN5a3dscgFyRz6Dage24bGOkyDKARG0XnmM6Cz2O6jpBVxyf4REwehY/MZUNGU.jpg)
LUCY KOMBA AMPA MUMEWE SHARTI LA KUZAA NAYE
10 years ago
Bongo Movies14 Jan
Baada ya kushindwa kuzaa na Wema na Penny. Hatimaye Diamond 'ampa' ujauzito Zari
Baada ya sokosoko kuu la kwanini?? muda wote huu kijana Nassib Abdul – Diamond Platnumz pamoja na list yake ndeeeefu ya mabinti wa bongomovies aliowahi kutembea nao hajawahi kuwa hata na mtoto wa kusingiziwa, HATIMAYE jana kupitia kwenye nyezo za kiteknolojia tumeweza kudokezwa juu ya ujauzito alionao mwanadada ZARI ambao ni fika utakuwa wa kijana huyu anayetamba na wimbo wa “Nitampata wapi” ambao wachunguziwa mambo wanadai ETi ni dedication kwa mpenzi wake maarufu wa zamani.
USHAHIDI WA...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-EurNgu1aD-o/VLA0GMJLT9I/AAAAAAAANrg/Ca8RbDD6LbM/s72-c/JD_65.jpg)
9 years ago
Bongo Movies15 Nov
Wastara Ampa Ampa Kichapo Bondi
KAZI ipo! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kumpa kichapo kikali aliyekuwa mwandani wake, Bond Suleiman baada ya kupatwa na kile kinachosemwa kuwa ni kupandisha majini.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, kupandisha majini hayo kulitokana na jinsi ambavyo mwanaume huyo amekuwa akimtendea mpenziwe huyo, ambaye inadaiwa katika kupandisha huko, alitoa maelekezo ya namna anavyotakiwa kufanya.
“Nakuambia ilikuwa varangati siku hiyo, Wastara alipandisha majini akiwa na Bond, walikuwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pwNUcGVK-dWyxGGAscYStZlLcjvRnwNfHBcjbqrO87a7ANI6nRExBaP4og-IdHDU8YQjfgfSn5JHMRFxf2Ua61N3*LsginGM/shehe.jpg)
MTABIRI: KIFO CHA MGOMBEA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DtcI2O2Ry7BKyZqpLqJtoaeLeMUCQrE3GiX33hbqo0lm6PO8qx8Btpuv7800ieG65rifHJJPiiIqNGX439DIgDBy*e-I59CF/ray.jpg)
MTABIRI ALITABIRIA PENZI LA RAY, CHUCHU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSW*0*TWGZKb*OGr0UBQIK0M4MpyKjMPft4epDxpN7JoScyBZrJ31XxcBef*gpUvhYGDIEKsAmNqP-7Ntjj9kkIp/Wagombea.jpg)
WAGOMBEA URAIS WAMIMINIKA KWA MTABIRI
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/DSC_7788.jpg?width=650)
MTABIRI: VIFO VYA WABUNGE BADO VIPO!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1crEtKkKYua8MEApBPqdvX1UlzuVR8LvDHwfMqX**AaboQRwISUaB*of6PsG*KmOKnXeiTQucborePiWBbOQOgwB/Maalim.jpg?width=650)