MTABIRI: KIFO CHA MGOMBEA
![](http://api.ning.com:80/files/pwNUcGVK-dWyxGGAscYStZlLcjvRnwNfHBcjbqrO87a7ANI6nRExBaP4og-IdHDU8YQjfgfSn5JHMRFxf2Ua61N3*LsginGM/shehe.jpg)
Mtabiri maarufu Bongo, Maalim Hassan Yahya. Gladness mallya MTABIRI maarufu Bongo, Maalim Hassan Yahya ameibuka na kusema kwamba utabiri aliowahi kuutoa kwamba kuna mgombea urais atafariki, bado upo palepale.....Soma zaidi===>http://goo.gl/wI0xxE
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-iVWZnok3PrA/Vc789tMkL9I/AAAAAAABT5Y/qyp752PPhGU/s72-c/shehe.jpg)
MTABIRI: KIFO CHA MGOMBEA URAIS KIPO PALEPALE
![](http://2.bp.blogspot.com/-iVWZnok3PrA/Vc789tMkL9I/AAAAAAABT5Y/qyp752PPhGU/s640/shehe.jpg)
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Mgombea urais atabiriwa kifo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Chama kikuu cha upinzani cha CNL kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake wa kiti cha urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s640/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Wajumbe wa chama cha National Congres for Liberty jana walimuidhinisha Rwasa aliye na umri wa miaka 56 kama mgombea wao katika uchaguzi wa Rais wa mwezi Mei.
Agathon Rwasa atachuana katika uchaguzi huo na Jenerali wa jeshi Evariste Ndayishimiye ambaye ni muitifaki wa Nkurunzia. Mwezi uliopita chama tawala Burundi CNDD-FDD kilimchagua jenerali huyo wa jeshi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oIwznkN5bZc/U8BB6B-2HGI/AAAAAAAF1P0/k_EBrXWx2i0/s72-c/unnamed+(15).jpg)
DKT SHEIN AKUTANA NA MGOMBEA URAIS WA CHAMA CHA FRELIMO CHA MSUMBIJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-oIwznkN5bZc/U8BB6B-2HGI/AAAAAAAF1P0/k_EBrXWx2i0/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qxGy_1mnPgI/U8BB6MLr_qI/AAAAAAAF1Pw/LT9A2fpp8Dw/s1600/unnamed+(16).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bgWZynVz*oWPxSnpdx81*nEWKnfR3YzfSf-rKjECbrgybhW*Lm71cHR*WwDE5OZ1owfBZc4HOPQOKXfTAK2yAQMGr3bGNgag/secky2.jpg)
FAMILIA YAWEKA WAZI CHANZO CHA KIFO CHA SECKY
10 years ago
Bongo Movies20 Apr
Lulu: Sina cha Kusema Wala Tamko Kuhusu Kifo cha Seki
Kufuatia kuhusishwa na kuwa na mahusiano ya kimapenzi na marehemu Bilionea Lusekelo Samson Mwandenga ‘Seki’ aliyefariki dunia Alhamisi iliyopita, Staa wa Bongo Movies Elizaberth Michael ‘Lulu’ amesema hana la kusema na hana tamko lolote fufuatia kifo cha Seki.
Akiongea na gazeti la Ijumaa Wikienda Juzi, lililotaka kujua taarifa za yeye kuhusishwa na bilionea huyo pamoja na mambo mengine, Lulu alijibu kwa kifupi;
Mwandishi: “Lulu kwanza tumesikia unaumwa na umelazwa, ni kweli?”
Lulu: “Siyo...
10 years ago
GPLCHUO CHA IMAMU JAFAR SWADIQ CHAADHIMISHA KIFO CHA MTUME MUHAMMAD (S.A.W)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gctU6T8RFoE/Xuo3iptHHsI/AAAAAAALuRw/TbBCpclqoEEGK63kb9vuUpiSYwl2-QbawCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_2103AAA-768x510.jpg)
WAZIRI MKUU ATIA SANI KITABU CHA MAOMBOLEZO KIFO CHA NKURUNZIZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gctU6T8RFoE/Xuo3iptHHsI/AAAAAAALuRw/TbBCpclqoEEGK63kb9vuUpiSYwl2-QbawCLcBGAsYHQ/s640/PMO_2103AAA-768x510.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kwenye Ubalozi wa Burundi, Upanga jijini Dar es salaam, Juni 17, 2020. Wa pili kulia ni Balozi wa Burundi nchini, Mhe. Abayeho Gervais.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_2113AAAA-1024x610.jpg)