Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTABIRI: VIFO VYA WASANII VITAENDELEA KUTOKEA

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

VIFO VYA WASANII VITAENDELEA MPAKA APRILI 2015 - MAALIM HASSAN HUSSEIN YAHYA

Mtabiri Maalim Hassan Hussein Yahya amesema kuwa vifo vya wasanii na mastaa vitaendelea mpaka Aprili 2015 wakati akiongea na Global TV Online. Ili kujua sababu za vifo hivyo, usikose kuangalia Global TV Online na kusoma magazeti ya Global…

 

9 years ago

GPL

MTABIRI: VIFO VYA WABUNGE BADO VIPO!

Mtabiri bingwa na mtaalam wa nyota Afrika Mashariki, Maalim Hassan Yahya. Gladness Malya na Gabriel Ng’osha
DUH! Mtabiri bingwa na mtaalam wa nyota Afrika Mashariki, Maalim Hassan Yahya amesema vifo vya watu maarufu na wanasiasa bado vipo na vinasababishwa na mvutano mkali wa nyota za wagombea wawili wa urais, John Magufuli (CCM) na Edward Lowassa (Chadema) Akizungumza na Ijumaa Wikienda alisema alishawahi kutabiri kutokea kwa...

 

10 years ago

GPL

MSHITUKO VIFO VYA WASANII

Stori:  Waandishi Wetu
Misiba kila kona! Achilia mbali watu wasiokuwa na majina hasa vijana wadogo, ndani ya saa 24 wamefariki dunia wasanii wanne wa kutoka kwenye tasnia za Bongo Movies na Bongo Fleva, Amani lina habari yenye kuumiza moyo. Benson Okumu, enzi za uhai wake akiwa na mtoto wa marehemu George Okumu Otieno ‘Tyson’… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vifo vya wasanii vyaitesa 5 Effects

VIFO mfululizo vya wasanii wa Klabu ya Bongo Movies Unity vilivyotokea mwezi uliopita, vimeitikisa Kampuni ya 5 Effects Movies Ltd hali iliyosababisha waweke ratiba ya kufanya ibada ya maombi kila...

 

11 years ago

GPL

DEVOTHA AUNGA MKONO UTABIRI VIFO VYA WASANII

Stori: Mayasa Mariwata MSANII wa filamu Bongo, Devotha Mbaga ambaye ni Katibu wa Klabu ya Bongo Movie Unity, amesema anayaamini maneno ya watabiri kwa kuwa wanayoongea mara nyingi huwa yanatimia. Msanii wa filamu Bongo, Devotha Mbaga Akipiga stori na paparazi wetu baada ya mtabiri mashuhuri, Hassan Yahya Husein kutabiri vifo vya mfululizo vya wasanii ambavyo kweli vimetokea, Devotha alisema ameamini utabiri huo na kuzidi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Vifo vya corona: Kwanini Uingereza imerekodi vifo vingi vya corona Ulaya?

Hadi kufikia sasa Uingereza inaongoza kwa idadi ya walioambukizwa virusi vya corona Ulaya na kote duniani kulingana na takwimu rasmi. Kipi kilichokoseka?

 

10 years ago

Bongo Movies

Hizi Ndio Bei za Kingwendu Kutokea Kwenye Video za Wasanii

Staa mkongwe kwenye uchekeshaji, Kingwendu amesema kuonekana kwenye video za muziki za wasanii ni moja ya biashara zake anazozipa uzito.

Kingwendu ameonekana kwenye video kadhaa ikiwemo ile ya wimbo wa Yamoto Band.

Akiongea na 255 ya XXL kupitia kituo cha redio cha Clouds FM, Kingwendu alisema kabla hajakubali kufanya video, huangalia kwanza wimbo huo una ujumbe gani.

“Inategemea kwanza na video gani, kama ni movie au muziki kama muziki, naangalia kwanza ameimba nini na huo wimbo una...

 

11 years ago

GPL

JOHARI: BAADA YA VIFO, WASANII TUMENYOOKA

Stori: Mayasa Mariwata
MKONGWE kwenye sanaa za Kibongo, Blandina Chegula ‘Johari’ amesema kufuatia vifo vya mfululizo vya wasanii, kwa kiasi kikubwa wasanii wamebadilika kitabia. Mkongwe kwenye sanaa za Kibongo, Blandina Chegula ‘Johari’ Akipiga stori na paparazi wetu alisema, wasanii hao wamejitambua kuwa duniani watu wanapita, jambo ambalo kwa muda mrefu walikuwa wamelisahau na kuponda raha...

 

9 years ago

Habarileo

Polisi wachunguza vifo vya utata vya watu 4 Bukoba

JESHI la Polisi mkoani Kagera linachunguza tukio la vifo vya watu wanne waliouawa katika mazingira ya kutatanisha, kilometa 10 kutoka Bukoba Mjini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani