JOHARI: BAADA YA VIFO, WASANII TUMENYOOKA
![](http://api.ning.com:80/files/QsQ1m7RyND0dUKqa7ue3HHfnh2Z*T6YxP57kh2YvcQVxelmLlU0AVLOli*hKpZxeWz5QSonjiW8rPD**Kmfs97FUry-ZQbVY/johari.jpg)
Stori: Mayasa Mariwata MKONGWE kwenye sanaa za Kibongo, Blandina Chegula ‘Johari’ amesema kufuatia vifo vya mfululizo vya wasanii, kwa kiasi kikubwa wasanii wamebadilika kitabia. Mkongwe kwenye sanaa za Kibongo, Blandina Chegula ‘Johari’ Akipiga stori na paparazi wetu alisema, wasanii hao wamejitambua kuwa duniani watu wanapita, jambo ambalo kwa muda mrefu walikuwa wamelisahau na kuponda raha...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o-1NtXzEejJPIfUOxKJOAaT0jzV4nT4t0VXVESUJZYXgNyQoRLljJRWjpQD5BlZRTzpYW78xDQ*PoQoM5B9U5OBPCH7Hhg9G/FRONTAMANI1.jpg)
MSHITUKO VIFO VYA WASANII
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Vifo vya wasanii vyaitesa 5 Effects
VIFO mfululizo vya wasanii wa Klabu ya Bongo Movies Unity vilivyotokea mwezi uliopita, vimeitikisa Kampuni ya 5 Effects Movies Ltd hali iliyosababisha waweke ratiba ya kufanya ibada ya maombi kila...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1crEtKkKYua8MEApBPqdvX1UlzuVR8LvDHwfMqX**AaboQRwISUaB*of6PsG*KmOKnXeiTQucborePiWBbOQOgwB/Maalim.jpg?width=650)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNQQOk2uB1i30KA11Njs3*p6rvrr-21qIFfARrPt4ifiwCh0FyI8UABbzRef0U8H3QrxEhOKklZutGNEEfWKp1Fp/DEVOTHA.jpg)
DEVOTHA AUNGA MKONO UTABIRI VIFO VYA WASANII
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
VIFO VYA WASANII VITAENDELEA MPAKA APRILI 2015 - MAALIM HASSAN HUSSEIN YAHYA
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Ndoa ya Ustazi Juma na Johari yanukia. Asema Johari atakuwa mke wake wa pili
PENZI limekolea na kinachoonekana sasa kwa Ostaz Juma Namusoma ni kukazia penzi lake kwa mwanadada Blandina Chagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo movies.
Kwa mujibu wa mtandao wa GPL zinasema kwamba Ostaz alifunga safari kwenda nchini Afrika Kusini kwa mapumziko mafupi lakini pia kumnunulia mpenzi wake huyo zawadi mbalimbali kwa lengo la kupalilia uchumba wao.
“Jamaa alikuwa Sauzi (Afika Kusini), aliondoka hapa tarehe 17 (Machi) na amerudi tarehe 21. Kamletea zawadi kibao lakini...
9 years ago
Bongo502 Oct
Wasanii wasisahau kuna maisha baada ya uchaguzi — Quick Rocka
10 years ago
Bongo522 Jul
Wakenya wamkalia shingoni Victoria Kimani baada ya kuwaambia hawasupport wasanii wao
10 years ago
Bongo520 Oct
Alichokisema Mwana FA baada ya kile alichokiona kwenye Fiesta Dar kuhusu wasanii wa Bongo