Vifo vya corona: Kwanini Uingereza imerekodi vifo vingi vya corona Ulaya?
Hadi kufikia sasa Uingereza inaongoza kwa idadi ya walioambukizwa virusi vya corona Ulaya na kote duniani kulingana na takwimu rasmi. Kipi kilichokoseka?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Nchi za Muungano wa Ulaya zarekodi idadi ya juu ya vifo vinavyotokana na virusi vya corona
Idadi ya vifo vilivyotokana na maambukizi ya virusi vya Corona imeongezeka katika nchi za Italia, Uhispania na Ufaransa.
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya Corona: Fahamu nadharia juu ya vifo vya vijana na watu wengine wenye afya njema
Hakuna majibu ya moja kwa moja bali nadharia zinazojaribu kutegua kitendawili cha vifo vya vijana wenye afya.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LocNkemKjiY/XrQLFOP6TMI/AAAAAAALpZ4/w5CHo1DF7jkX3RwNin8huVKDoJ7rxeopACLcBGAsYHQ/s72-c/6734482f-7495-454b-b008-5e399662915a.jpg)
VIFO VYA CORONA KUCHUNGUZWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LocNkemKjiY/XrQLFOP6TMI/AAAAAAALpZ4/w5CHo1DF7jkX3RwNin8huVKDoJ7rxeopACLcBGAsYHQ/s400/6734482f-7495-454b-b008-5e399662915a.jpg)
Vituo vya kutolea huduma za afya nchini vyatakiwa kufanya uchunguzi juu ya kifo chochote kitakachotokana na ugonjwa wa corona ili kubaini kama mgonjwa alihudumiwa ipasavyo kabla ya kifo kutokea.
Agizo hilo limetolewa na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi akiwa Jijini Mwanza mara baada ya kuagana na uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Ziwa – Bugando alipokuwa akifanya kazi awali kama Mkurugenzi Mtendaji kabla ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
5 years ago
BBCSwahili02 May
Virusi vya corona: Je ni kwanini inakua vigumu kulinganisha viwango vya corona kimataifa?
Je unapaswa kuwa unalinganisha takwimu za Covid-19 kati ya nchi mbali mbali?
11 years ago
BBCSwahili26 Feb
Vifo vya watoto vingali vingi
Saa 24 za kwanza za maisha ya mtoto ni muhimu na ni za hatari sana, wengi sana hufa katika siku ya kwanza tangu wanapozaliwa.
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: Karibia vifo 60,000 vyarekodiwa Marekani pekee
Marekani yaweka rekodi mpya duniani ya idadi ya watu waliomabukizwa ugonjwa wa Covid-19
5 years ago
BBCSwahili22 Jun
Virusi vya corona: Brazil ni nchi ya pili iliyopitisha vifo 50,000
Ongezeko la mzozo wa kisiasa limechangia masaibu ya Brazil, siku kadhaa baada ya kuthibitishwa kuwa zaidi ya watu miulioni moja wanaugua Covid-19.
5 years ago
BBCSwahili11 Apr
Virusi vya Corona: Vifo vyazidi 2,000 kwa siku moja Marekani
Marekani kwa sasa ina visa nusu milioni vya virusi vya corona vilivyothibitishwa lakini mlipuko unaweza kuwa wa kiwango cha chini hivi karibuni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania