Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIFO VYA CORONA KUCHUNGUZWA

Na WAMJW – Mwanza

Vituo vya kutolea huduma za afya nchini vyatakiwa kufanya uchunguzi juu ya kifo chochote kitakachotokana na ugonjwa wa corona ili kubaini kama mgonjwa alihudumiwa ipasavyo kabla ya kifo kutokea.

Agizo hilo limetolewa na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi akiwa Jijini Mwanza mara baada ya kuagana na uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Ziwa – Bugando alipokuwa akifanya kazi awali kama Mkurugenzi Mtendaji kabla ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Vifo vya corona: Kwanini Uingereza imerekodi vifo vingi vya corona Ulaya?

Hadi kufikia sasa Uingereza inaongoza kwa idadi ya walioambukizwa virusi vya corona Ulaya na kote duniani kulingana na takwimu rasmi. Kipi kilichokoseka?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wakuu wa maabara Tanzania wasimamishwa kazi, kuchunguzwa

Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii ya Tanzania Dkt Nyambura Moremi na Meneja wa Udhibiti wa Ubora wa maabara hiyo Jacob Lusekelo wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Fahamu nadharia juu ya vifo vya vijana na watu wengine wenye afya njema

Hakuna majibu ya moja kwa moja bali nadharia zinazojaribu kutegua kitendawili cha vifo vya vijana wenye afya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Brazil ni nchi ya pili iliyopitisha vifo 50,000

Ongezeko la mzozo wa kisiasa limechangia masaibu ya Brazil, siku kadhaa baada ya kuthibitishwa kuwa zaidi ya watu miulioni moja wanaugua Covid-19.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Karibia vifo 60,000 vyarekodiwa Marekani pekee

Marekani yaweka rekodi mpya duniani ya idadi ya watu waliomabukizwa ugonjwa wa Covid-19

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yaipiku Italia kwa idadi ya vifo duniani

Watu zaidi ya 20,000 wameshakufa Marekani huku maambukizi yakipita zaidi watu nusu milioni.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Vifo vyazidi 2,000 kwa siku moja Marekani

Marekani kwa sasa ina visa nusu milioni vya virusi vya corona vilivyothibitishwa lakini mlipuko unaweza kuwa wa kiwango cha chini hivi karibuni.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ni nini kinasababisha vifo visivyoelezeka katika jimbo la Kano Nigeria

Rais wa Nigeria ameonesha wasiwasi wake juu ya idadi ya vifo inayoongezeka katika jimbo la Kaskazini la Kano, huku kukiwa na wasiwasi kwamba vifo hivyo huenda vinatokana na ugonjwa wa Covid-19.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani