Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Wakuu wa maabara Tanzania wasimamishwa kazi, kuchunguzwa

Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii ya Tanzania Dkt Nyambura Moremi na Meneja wa Udhibiti wa Ubora wa maabara hiyo Jacob Lusekelo wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je vipimo vya kugundua virusi vya corona vinafanya kazi vipi?

Vipimo vya kugundua virusi vya corona ni vipi na vinafanyakazi namna gani?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je corona itatulazimisha kufanyia kazi nyumbani daima?

Kampuni ya Twitter imewaambia wafanyakazi wake kwamba wanaweza kufanyia kazi nyumbani "daima" kama wanataka kufanya hivyo wakati ikitathmini hali ya baadae ya mtandao huo wa kijamii baada ya janga la virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mapadre wanaoamini corona ni 'kazi ya shetani'

Kikundi cha mapadre wa kikatoliki katika eneo la Metro Manila wamekua wakihatarisha maisha yao kuendelea kuwahudumia watu wa jamii zilizokumbwa na umaskini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakuu 60 wa afya wasimamishwa kazi Malawi

Waziri wa Afya Malawi Peter Kumpalume amewasimamisha kazi zaidi ya maafisa 60 baada ya mamilioni ya dola kutoka Marekani, za kukabiliana na Ukimwi kutoweka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakuu wa ufisadi wasimamishwa kazi Kenya

Rais Uhuru Kenyatta, amewasimamisha kazi wakuu wawili wa shirika linalopambana na ufisadi nchini humo,

 

10 years ago

StarTV

Wakuu wa idara saba Mkinga wasimamishwa kazi.

Na Mbonea Herman,

Tanga.

 

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Said Magalula amewasimamisha kazi wakuu wa idara saba wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga kwa kosa la kuishi Tanga mjini badala ya kuishi maeneo yao ya kazi.

Waliosimamishwa kazi ni maafisa wa ardhi, kilimo, TEHAMA, manunuzi na uchaguzi pamoja na mkaguzi wa ndani.

dosagem para viagra

Sambamba na kuwasimamisha kazi wakuu hao wa idara, Magalula amemwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Amina Kiwanuka kuwachukulia hatua za kinidhamu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

10 years ago

GPL

WAKUU WA SHIRIKA LA KUPAMBANA NA UFISADI NCHINI KENYA WASIMAMISHWA KAZI

Rais wa serikali ya Kenya, Uhuru Kenyatta. Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amewasimamisha kazi wakuu wawili wa shirika linalopambana na ufisadi nchini humo, siku moja tu baada ya bunge kupitisha mswaada inaowalaumu kwa uzembe na utepetevu. Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa msemaji wa Ikulu ya Rais Manoah Esipisu, tume ya maadili na kupambana na ufisadi, itaendelea na kazi yake licha ya kusimamishwa kwa wakuu hao wawili. Wakuu hao...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono

Utafiti wa virusi vya Covid-19 ulikadiria kwamba kiwango kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo hutokea siku moja au mbili kabla ya mtu aliyeambukizwa kuanza kuonyesha dalili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani