Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKUU WA SHIRIKA LA KUPAMBANA NA UFISADI NCHINI KENYA WASIMAMISHWA KAZI

Rais wa serikali ya Kenya, Uhuru Kenyatta. Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amewasimamisha kazi wakuu wawili wa shirika linalopambana na ufisadi nchini humo, siku moja tu baada ya bunge kupitisha mswaada inaowalaumu kwa uzembe na utepetevu. Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa msemaji wa Ikulu ya Rais Manoah Esipisu, tume ya maadili na kupambana na ufisadi, itaendelea na kazi yake licha ya kusimamishwa kwa wakuu hao wawili. Wakuu hao...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wakuu wa ufisadi wasimamishwa kazi Kenya

Rais Uhuru Kenyatta, amewasimamisha kazi wakuu wawili wa shirika linalopambana na ufisadi nchini humo,

 

9 years ago

BBCSwahili

Ufisadi:Majaji 7 wasimamishwa kazi Ghana

Majaji saba wa mahakama ya juu nchi Ghana kati ya 12 wamesimamishwa kazi kwa mda kufuatia madai ya kuhusika katika ufisadi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakuu 60 wa afya wasimamishwa kazi Malawi

Waziri wa Afya Malawi Peter Kumpalume amewasimamisha kazi zaidi ya maafisa 60 baada ya mamilioni ya dola kutoka Marekani, za kukabiliana na Ukimwi kutoweka.

 

10 years ago

StarTV

Wakuu wa idara saba Mkinga wasimamishwa kazi.

Na Mbonea Herman,

Tanga.

 

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Said Magalula amewasimamisha kazi wakuu wa idara saba wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga kwa kosa la kuishi Tanga mjini badala ya kuishi maeneo yao ya kazi.

Waliosimamishwa kazi ni maafisa wa ardhi, kilimo, TEHAMA, manunuzi na uchaguzi pamoja na mkaguzi wa ndani.

dosagem para viagra

Sambamba na kuwasimamisha kazi wakuu hao wa idara, Magalula amemwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Amina Kiwanuka kuwachukulia hatua za kinidhamu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wakuu wa maabara Tanzania wasimamishwa kazi, kuchunguzwa

Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii ya Tanzania Dkt Nyambura Moremi na Meneja wa Udhibiti wa Ubora wa maabara hiyo Jacob Lusekelo wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mawaziri 4 wasimamishwa kazi Kenya

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amewasimamisha kazi kwa mda mawaziri wake wanne pamoja na maafisa wengine 12

 

10 years ago

BBCSwahili

Waalimu 100 Kenya wasimamishwa kazi

Tume ya huduma ya walimu nchini Kenya, imewafungia zaidi ya walimu mia moja kwa makosa ya udhalilishaji wa kijinsia

 

9 years ago

Dewji Blog

Wahitimu wa Vyuo Vikuu nchini watakiwa kumsaidia Rais Dkt. Magufuli kupambana na ufisadi-Dr.Walukani

IMG_8643

Proffessa, John Adamson Mwakilima akitunuku Shahada ya Udaktari na Uzamivu wa Falsafa katika Maswala ya Uongozi kutoka Chuo cha New Life Bible College and Seminary USA chenye tawi lake Kata ya Mlandizi mkoani hapa mhitimu Walukani Luhamba ambaye ni Ofisa Mfawidhi wa Sumatra Mkoa wa Tanga juzi.

DSC00451

Dr.Walukani Luhamba akipongezwa na Familia yake mara baada ya kutunukiwa Shahada ya Udaktari na Uzamivu wa Falsafa katika maswala ya Uongozi kutoka Chuo cha New Life Bible College and Seminary USA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani