Mawaziri 4 wasimamishwa kazi Kenya
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amewasimamisha kazi kwa mda mawaziri wake wanne pamoja na maafisa wengine 12
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Wakuu wa ufisadi wasimamishwa kazi Kenya
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Waalimu 100 Kenya wasimamishwa kazi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuullGSEgvqkBIWGieJBj2pnnh7nv2ZzpegAKRa*qxdMENAs6-J32p3BVFBeT8X5z6fmVsc-JpUEfRDwNvSJOO451r/keneyttra.jpg?width=650)
WAKUU WA SHIRIKA LA KUPAMBANA NA UFISADI NCHINI KENYA WASIMAMISHWA KAZI
9 years ago
Mtanzania31 Dec
Watumishi wasimamishwa kazi Dodoma
Ramadhan Hassan, Dodoma
SERIKALI imewasimamisha kazi maofisa biashara wawili wa Mkoa wa Dodoma kutokana na kuchelewesha utoaji wa leseni za biashara.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini kutoka ofisi ya Rais (TAMISEMI), Rebbeca Kwandu, aliwataja waliosimamishwa kazi kuwa ni Elias Kamara na Donatila Vedasto.
“Agizo hili limetolewa na Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene baada ya...
10 years ago
Habarileo03 Nov
Vigogo H/shauri Kilolo wasimamishwa kazi
HALMASHAURI ya wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa imewasimamisha kazi kwa muda usiojulikana, vigogo wake wanne ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazoelekezwa dhidi yao.
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Sepp Blatter na Platini wasimamishwa kazi
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Ufisadi:Majaji 7 wasimamishwa kazi Ghana
9 years ago
BBCSwahili25 Dec
Wakuu 60 wa afya wasimamishwa kazi Malawi
9 years ago
Dewji Blog07 Jan
Watumishi 9 wa Manispaa ya Kigoma Ujiji wasimamishwa kazi
Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, John Ndungulu akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kusimamishwa kazi kwa watumishi 9 wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji. (Picha na Emmanuel Senny).
Na Emmanuel Senny, Kigoma
Watumishi tisa wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji wamesimamishwa kazi mara baada ya kubainika kuingia mikataba mibovu isiyokuwa na tija na kuisababishia manispaa hasara ya kupoteza mapato sambamba na kulipa fidia ambazo ni batili pamoja na kuuza mali za halmashauri kinyume cha sheria.
Maamuzi...