WAGOMBEA URAIS WAMIMINIKA KWA MTABIRI
![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSW*0*TWGZKb*OGr0UBQIK0M4MpyKjMPft4epDxpN7JoScyBZrJ31XxcBef*gpUvhYGDIEKsAmNqP-7Ntjj9kkIp/Wagombea.jpg)
Gladness Mallya na Mayasa Mariwata MAJANGA! Wakati vuguvugu la kutangaza nia ya kugombea nafasi ya urais likiendelea, imegundulika kuwa wagombea wengi wa urais wamekuwa wakimiminika kwa mtabiri maarufu Bongo, Maalim Hussein Yahaya, (pichani) maeneo ya Magomeni Mwembechai jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kutabiriwa safari yao hiyo, Ijumaa lina mkanda kamili. Mtabiri maarufu Bongo, Maalim Hussein Yahaya. Gazeti hili...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-iVWZnok3PrA/Vc789tMkL9I/AAAAAAABT5Y/qyp752PPhGU/s72-c/shehe.jpg)
MTABIRI: KIFO CHA MGOMBEA URAIS KIPO PALEPALE
![](http://2.bp.blogspot.com/-iVWZnok3PrA/Vc789tMkL9I/AAAAAAABT5Y/qyp752PPhGU/s640/shehe.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70tqLZsnQkbvSXEl6bX7Y3O3gCyB7xkcIJj6hy67aV3IPKVOW3*I80-DMiGbkk9wG2dLJiNv9XcZLhcfrDqMfawv/wagombea.gif)
WAGOMBEA URAIS WAIBUA MPASUKO KWA MASTAA
9 years ago
Mwananchi05 Sep
Wagombea urais mtueleze na haya kwa kina!
10 years ago
Mtanzania02 Mar
Wagombea urais wapigana vikumbo kwa Komba
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KIFO cha Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kepteni John Komba (CCM), kimewafanya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaotajwa kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, kupigana vikumbo huku kila mmoja akizungumzia umuhimu wa kiongozi huyo.
Miongoni mwa viongozi waliohudhuria msiba nyumbani kwa marehemu, Mbezi kwa Komba jijini Dar es Salaam ni pamoja Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouurpNlx5kKakqHONPHv6vY0PtbR8HGqgvdF1FqAzoRappzhLXHzcKdkCUEEud1e4B8zuWxw9GwCkI-rnOKnu2Bm0/HamisiKigwangalla.jpg?width=650)
IPO HAJA KWA WAGOMBEA URAIS KUJITANGAZA SASA
9 years ago
StarTV31 Dec
  Televisheni ya Marekani yaandaa Mdahalo kwa wagombea Urais Fifa
Katika kuhakikisha Soka linampata rais bora wa Shirikisho la soka duniani FIFA,Televisheni moja ya Marekani imeandaa mdahalo utakaowashirikisha wagombea wote watano wa nafasi ya Urais.
Wagombea walioalikwa ni pamoja na Prince Ali Bin al-Hussein, Sheikh Salman bin Ebrahim al-Khalifa, Tokyo Sexwale, Gianni Infantino na Jerome Champagne kati yao mmoja ndiye atakayekuwa raisi wa FIFA katika uchaguzi utakaopigwa February 26 mjini Zurich Uswis.
Taarifa iliyotolewa na Uongozi wa Televisheni hiyo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XNtfzmrgWnU/VXw2bLnc1pI/AAAAAAAAJto/LTsIhT94Pyw/s72-c/1.png)
PICHA WAGOMBEA URAIS KUPITIA CCM WAKIWA KWA TB JOSHUA NIGERIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XNtfzmrgWnU/VXw2bLnc1pI/AAAAAAAAJto/LTsIhT94Pyw/s640/1.png)
Hon. Lowassa in 2012 at TB Joshua Church!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-6CRenwFnjuo/VXw2Ye1hP-I/AAAAAAAAJtc/EWqGG-8Kdu8/s640/2.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Fh-NT-wXWg/VXw2acPfuwI/AAAAAAAAJtk/L7eWiggLeV8/s640/3.png)
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-6mLiDf2x4Cg/VidsLtiSnyI/AAAAAAAIBd4/Qhn2X_3-Rwg/s640/1.png)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rC3TSr1ZTMY/VLlejnroFTI/AAAAAAAAbO0/Ooxd-EVbW1w/s72-c/midahalo_clip.jpg)
TAARIFA KWA UMMA: UDASA na ITV Kuandaa Midahalo ya Wagombea Urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-rC3TSr1ZTMY/VLlejnroFTI/AAAAAAAAbO0/Ooxd-EVbW1w/s1600/midahalo_clip.jpg)
Picha na Venance Nestory.
1. Katika nchi za kidemokrasia, midahalo ya wagombea imekuwa ni sehemu muhimu katika...