IPO HAJA KWA WAGOMBEA URAIS KUJITANGAZA SASA

Dk. Hamisi Kigwangala. NIMSHUKURU Mungu kwa kunipa afya njema ya kuweza kuzungumza na nyinyi kupitia safu hii. Niseme tu kwamba gumzo kubwa ambalo linatawala katika ‘viwanja’ vya siasa ni wagombea urais ambao watamrithi Rais Jakaya Mrisho Kikwete mwakani. Mheshimiwa Januari Makamba. Tayari watu kadhaa wametajwa na wengine kutangaza nia yao ya kuwania nafasi hiyo ya juu ya uongozi… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Vyama visiwazuie wanaotamani urais kujitangaza
KUTANGAZA nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani kumeshaanza kuonekana kama balaa, hasa ukiwa mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Chama hicho kimetangaza kufanya tathimini ya adhabu iliyoitoa...
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Ipo haja ya kuangalia upya utaratibu wa safari za Hija
11 years ago
Michuzi
VIJIMAMBO RADIO SASA IPO HEWANI KWA MAJARIBIO

Toa maoni yako kumbuka tupo kwenye majaribio na bado tunaendelea kuboresha Radio hii na kama una maoni au ushauri unaweza toa maoni yako au tuandikie barua pepe djlukejoe@gmail.com au Vijimamboblog@gmail.com asante endelea kuburudika na
VIJIMAMBO RADIO
10 years ago
Michuzi27 Oct
POLISI YAZIMA VURUGU ZANIBAR,NI BAADA YA MAALIM SHARIF HAMAD KUJITANGAZA MSHINDI WA URAIS

WAKATI wakisubiri matokeo ya uchaguzi ya rais huku Tume ya Uchaguzi ikitangaza kura za wagombea wabunge na uwakilishi katika majimbo ya uchaguzi Zanzibar, Jeshi la Polisi limelazimika kuzima fujo na vurugu kutoka kwa wafuasi wa CUF waliotanda mitaa ya Mji Mkongwe na barabara kuu ya Darajani.
Vurugu zimezuka baada ya mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad kufanya tathmini na kutangaza matokeo ya ushindi wa chama chake katika uchaguzi wa juzi kwa asilimia 52.87.
Maalim...
10 years ago
GPL
WAGOMBEA URAIS WAMIMINIKA KWA MTABIRI
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya corona: Je ipo haja ya kutumia vidonge vya vitamin D?
10 years ago
Mtanzania02 Mar
Wagombea urais wapigana vikumbo kwa Komba
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KIFO cha Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kepteni John Komba (CCM), kimewafanya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaotajwa kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, kupigana vikumbo huku kila mmoja akizungumzia umuhimu wa kiongozi huyo.
Miongoni mwa viongozi waliohudhuria msiba nyumbani kwa marehemu, Mbezi kwa Komba jijini Dar es Salaam ni pamoja Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard...
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Wagombea urais mtueleze na haya kwa kina!
10 years ago
GPL
WAGOMBEA URAIS WAIBUA MPASUKO KWA MASTAA