Wagombea urais wapigana vikumbo kwa Komba
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KIFO cha Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kepteni John Komba (CCM), kimewafanya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaotajwa kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, kupigana vikumbo huku kila mmoja akizungumzia umuhimu wa kiongozi huyo.
Miongoni mwa viongozi waliohudhuria msiba nyumbani kwa marehemu, Mbezi kwa Komba jijini Dar es Salaam ni pamoja Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania16 Jun
Wasaka urais CCM wapigana vikumbo mikoani
Na Waandishi Wetu
HEKA HEKA za kusaka wadhamini mikoani kwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaowania kugombea urais zimeendelea kushika kasi mikoani.
Wakati hayo yakiendelea, Mwenyekiti Mstaafu na kada mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Kagera, Pius Ngeze ametangaza rasmi kumuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa katika harakati zake za kutafuta kuwa mgombea urais kupitia chama hicho.
Ngeze aliyekuwa miongozi mwa viongozi wa chama hicho mkoani humo waliojumuika...
10 years ago
Mtanzania09 Jun
Wagombea urais vikumbo kila kona
NA WAANDISHI WETU
MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliotangaza nia ya kugombea urais, sasa ni wazi wanapigana vikumbo kila kona ya nchi.
Hatua hiyo inatokana na kila mtangaza nia kwa nyakati tofauti kutoa kauli nzito.
Wapo makada ambao kauli zao zinaonyesha wazi kuwa kuna mgongano ndani ya CCM, huku wengine wakitangaza nini watakifanya endapo watateuliwa kuongoza nchi.
MEMBE: SINA UNDUGU NA JK
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema hana undugu na Rais...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DLo0tVWR9KfziR4zNADXEGPZ*bozRWowORqB1CEEGrx*pfzWuvvqSDZmicIZc9IyM01nn5zjGbddbYV9R*HVV7V*b6DyJotu/makocha.jpg?width=650)
Makocha 35 wapigana vikumbo Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox5-CmqZWnA*qZQFSDRi9400*5m-JKyUfPT0jsEa0XxO0RjrGSGAa6kLY5O862HFUjOePjK3LOx4o9GU9UNBsQKS/stevenyerere.jpg?width=650)
NYERERE, DK. CHENI WAPIGANA VIKUMBO
9 years ago
Mtanzania20 Aug
Magufuli, Lowassa wapigana vikumbo
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli pamoja na mwenzake kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, wamepigana vikumbo mahakamani huku kila mmoja akisaka kiapo cha mahakama kuthibitisha rasmi kuwania nafasi hiyo.
Magufuli na Lowassa kwa sasa wamekuwa mahasimu wa kisiasa tangu waziri mkuu huyo wa zamani alipotangaza kuihama CCM baada ya mchakato wa urais uliofanyika mjini Dodoma Julai...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4XoJJHrJ*OXLNHK8VNLjTsR0a-en3S4SSi*FAIYGVKQlAgvJId5VfqpqjE-GFxbasShT169z*pstMnlJvvrqLWD/aunty.gif?width=650)
WEMA, AUNT WAKUTAKA, WAPIGANA VIKUMBO
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qeusznqd6YluAs88IJpYrCjR4v-wc09vIoQDj3N0qumcmxQU7o1b5*HrjjdjCNOdVmZI*GmMuYa5*MOAddR3aapW8vJpSHzh/lulu.gif?width=650)
LULU, MAMA KANUMBA WAPIGANA VIKUMBO
10 years ago
Mwananchi02 Mar
Wagombea urais wagongana msiba wa Komba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSW*0*TWGZKb*OGr0UBQIK0M4MpyKjMPft4epDxpN7JoScyBZrJ31XxcBef*gpUvhYGDIEKsAmNqP-7Ntjj9kkIp/Wagombea.jpg)
WAGOMBEA URAIS WAMIMINIKA KWA MTABIRI