Wagombea urais wagongana msiba wa Komba
Msiba wa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba jana uligeuka uwanja wa siasa, baada ya makada wa CCM wanaotajwa kugombea urais pamoja na wapambe wao kupigana vikumbo na kurushiana vijembe, ikiwa na maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 Mar
Wagombea urais wapigana vikumbo kwa Komba
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KIFO cha Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kepteni John Komba (CCM), kimewafanya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaotajwa kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, kupigana vikumbo huku kila mmoja akizungumzia umuhimu wa kiongozi huyo.
Miongoni mwa viongozi waliohudhuria msiba nyumbani kwa marehemu, Mbezi kwa Komba jijini Dar es Salaam ni pamoja Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard...
10 years ago
Mwananchi01 Mar
Msiba wa Kapt Komba: Bunge lasema
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PL6sx56p4-T0klZNAc0imcQ-Vdn*O0RoZ6zQW2d53BXgmIT2fcU6SzeoxhA1TL1J-a2Viid6fm18TfUZpgXbabw/SHILOLE.jpg)
SHILOLE ATIA AIBU MSIBA WA KOMBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QiexpI9hytpAy2-Xh64sPjnXd9bNSRTjT1zdm86M0inbAIvYPxQzM34BNiAHe1I6yol7k3hzLGmq2n12b42vnGRLgAPjSFtQ/rr.jpg?width=650)
NAPE, NISHA KIVUTIO MSIBA WA KAPT. KOMBA
10 years ago
Bongo Movies02 Mar
Maneno ya MPOKI Kuhusu Msiba wa Kapteni John KOMBA
Mwigizaji wa vichekesho wa Kundi la Orijino Komedi, Mujuni Sylivery aka Mpoki moja ya vitu ambavyo aliwahi kuvifanya katika kazi yake ya uchekeshaji ni pamoja na kuigiza sauti ya marehemu, Kapteni John KOMBA ambaye amefariki February 28.
Leo Mpoki amesikika kwenye Leo Tena CloudsFM, alianza kuzungumzia namna alivyopokea taarifa za msiba huo; “..Mtu akishatoweka kwenye ulimwengu akifariki dunia inauma kwa sababu mtu unayempoteza leo huwezi kumpata tena.. lakini ukimpoteza mbuzi utaenda...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Okj99fdrzII/VPUM8V3TKAI/AAAAAAAAR2M/fFRVFxrh6ak/s72-c/10981536_978431962168703_4427926673826498882_n.jpg)
DR WILBROAD SLAA AHUDHURIA MSIBA WA CAPTAIN JOHN KOMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Okj99fdrzII/VPUM8V3TKAI/AAAAAAAAR2M/fFRVFxrh6ak/s1600/10981536_978431962168703_4427926673826498882_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-mc6HHR7C15s/VPNVMVkUG9I/AAAAAAAC0wY/qZypBvtdPiQ/s72-c/15889_938839636150671_9032082101882973588_n.jpg)
VIONGOZI MBALIMBALI WAMIMINIKA KUHANI MSIBA WA KAPTEN KOMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-mc6HHR7C15s/VPNVMVkUG9I/AAAAAAAC0wY/qZypBvtdPiQ/s1600/15889_938839636150671_9032082101882973588_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XysoJI66Ymw/VPLwTGB4ffI/AAAAAAAAXSA/2oVW5SfRZ3U/s1600/013.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hNP-q10IRVI/VPLwY-_uXrI/AAAAAAAAXSQ/hwYILOanKhM/s1600/014.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-R7vQKs75sho/VPLwT4Y8ciI/AAAAAAAAXSI/5fIW_BA3YRM/s1600/012.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-81v5-TTZtVo/VPLwbDEdPXI/AAAAAAAAXSY/TlTsRdMTozY/s1600/018.jpg)
10 years ago
Michuzi01 Mar
10 years ago
Bongo Movies01 Mar
Msiba Wa Komba: Wema Atoboa Kuwa Yeye ni Mwana CCM
Watu mbali mbali wakiwemo waigizaji wa filamu hapa nchni wanaendelea kuonyesha jinsi walivyoguswa na kifo cha Mh. Captain John Komba kupita kurasa zao za mitandaoni usasani mtandao wa Instagram, wamekuwa kuweka picha yake na kuandika maneno ya kumtakia kheri huko aendako.
Mwigizaji Wema Sepetu nae ni mojawapo alieguswa na msiba huu na kuandika mameno kuonyesha majonzi alionayo na kutoa kuwa yeye ni mwanachama wa chama cha mapinduzi (CCM)kama alivyokuwa marehemu.
“Dah ni pigo kubwa...