Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DR WILBROAD SLAA AHUDHURIA MSIBA WA CAPTAIN JOHN KOMBA

Katibu mkuu wa CHADEMA DR Wilbroad Slaa akitia saini kitabu cha Wageni alipofika kuhudhuria msiba wa Kada Maaarufu wa CCM Ambaye Pia Mbunge wa Mbinga Magharibi Captain John Komba.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Daily News

Captain John Komba is no more


Captain John Komba is no more
Daily News
Mbinga West Member of Parliament and Member of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) National Executive Committee (NEC) Captain John Damian Komba is no more. He died at TMJ hospital in Dar es Salaam Today, where he had been admitted few ...

 

10 years ago

IPPmedia

Captain John Komba: Monument of culture, enthusiasm, memories


IPPmedia
Captain John Komba: Monument of culture, enthusiasm, memories
IPPmedia
News of the passing away of Mbinga West MP Captain John Komba will be met with anguish and resignation for swathes of CCM cadres especially of middle age brackets all over the country. He was a monument of what the country stood for a long time, one ...
Mbinga West MP Komba is no moreDaily News

all 4

 

10 years ago

Michuzi

MEMBE AHUDHURIA MSIBA WA MTOTO WA JENERALI MSUGURI NA KUHANI MSIBA WA JOHN NYERERE BUTIAMA MKOANI MARA

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akitoa salamu za rambi rambi kwa niaba ya Serikali wakati wa shughuli ya kuaga mwili wa Luteni mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Marehemu Martin David Msuguri wakati wa ibada ya kumuaga na mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa Baba yake, Jenerali mstaafu David Msuguri, Butihama mkoani Mara Juni 21.2015. Marehemu Martin alifariki Juni 19 mwaka huu katika Hospitali ya Lugalo...

 

10 years ago

Michuzi

SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA MHESHIMIWA CAPTAIN JOHN DAMIANO KOMBA (MB) TOKA BASATA

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limepokea kwa masikitiko na majonzi makubwa kifo cha Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Captain John Damian Komba kilichotokea jioni ya Jumamosi ya tarehe 28/02/2015.

Captain John Damian Komba ni msanii na mdau wa muda mrefu wa sekta ya Sanaa nchini. Amekuwa ni taa na nuru ambayo katika kipindi chote cha uhai wake imeangaza na kutoa mwanga angavu kwenye sekta ya Sanaa.

Mchango wake katika muziki wa dansi, kwaya na ule wa kiweledi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Maneno ya MPOKI Kuhusu Msiba wa Kapteni John KOMBA

Mwigizaji wa vichekesho wa Kundi la Orijino Komedi, Mujuni Sylivery aka Mpoki moja ya vitu ambavyo aliwahi kuvifanya katika kazi yake ya uchekeshaji ni pamoja na kuigiza sauti ya marehemu, Kapteni John KOMBA ambaye amefariki February 28.

Leo Mpoki amesikika kwenye Leo Tena CloudsFM, alianza kuzungumzia namna alivyopokea taarifa za msiba huo; “..Mtu akishatoweka kwenye ulimwengu akifariki dunia inauma kwa sababu mtu unayempoteza leo huwezi kumpata tena.. lakini ukimpoteza mbuzi utaenda...

 

10 years ago

IPPmedia

Captain Komba is no more


Captain Komba is no more
IPPmedia
Mbinga West Member of Parliament (MP) and Musician Capt Jonh Komba (CCM) passed away at around 4pm yesterday at the TMJ Hospital in Dar es Salaam. The Secretary for Tanzania 0ne Theater (TOT) Gasper Tumaini said. “I met him at 9am today ...
Mbinga West MP Komba is no moreDaily News

all 3

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Hotuba ya Dr. Wilbroad Slaa Kuacha Siasa

Hotuba ya Dr. Wilbroad Slaa Kuacha Siasa Written by Prof.Mbele http://hapakwetu.blogspot.ca/2015/09/hotuba-ya-dr-wilbroad-slaa-kuacha-siasa.html Kuhusu hotuba ya Dr. Slaa kwa waandishi wa habari akitangaza kuondokana na siasa, mengi muhimu yamesemwa na wenye upeo na tafakari nzito kunizidi. Ila nami […]

The post Hotuba ya Dr. Wilbroad Slaa Kuacha Siasa appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

BBCSwahili

JK amuaga Captain Komba

Mamia ya watu wamejitokeza Tanzania kumuaga Captain John Komba, mbunge na msanii maarufu wa uhamasishaji aliyefariki siku ya Jumamosi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani