MEMBE AHUDHURIA MSIBA WA MTOTO WA JENERALI MSUGURI NA KUHANI MSIBA WA JOHN NYERERE BUTIAMA MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-NefYiu42lUw/VYcyC2AKTkI/AAAAAAAHiPU/LpOGIUxkdUU/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akitoa salamu za rambi rambi kwa niaba ya Serikali wakati wa shughuli ya kuaga mwili wa Luteni mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Marehemu Martin David Msuguri wakati wa ibada ya kumuaga na mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa Baba yake, Jenerali mstaafu David Msuguri, Butihama mkoani Mara Juni 21.2015. Marehemu Martin alifariki Juni 19 mwaka huu katika Hospitali ya Lugalo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi06 Jul
Waziri Membe ahudhuria msiba wa Mzazi wa Felista Rugambwa
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Okj99fdrzII/VPUM8V3TKAI/AAAAAAAAR2M/fFRVFxrh6ak/s72-c/10981536_978431962168703_4427926673826498882_n.jpg)
DR WILBROAD SLAA AHUDHURIA MSIBA WA CAPTAIN JOHN KOMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Okj99fdrzII/VPUM8V3TKAI/AAAAAAAAR2M/fFRVFxrh6ak/s1600/10981536_978431962168703_4427926673826498882_n.jpg)
10 years ago
Mtanzania12 May
Dk. Bilal aongoza waombeleza msiba wa John Nyerere
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal jana aliongoza mamia ya waombolezaji wakiwamo viongozi wa vyama na Serikali kuaga mwili wa mtoto wa Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere, John Nyerere.
Mbali na Dk. Bilal viongozi wengine waliokuwapo ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, Rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na Mke wa Rais Kikwete, Mama Salma Kikwete.
Akisoma wasifu wa marehemu, mdogo wake, Makongoro...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s72-c/1.jpg)
MANGULA NA NAPE WAHANI MSIBA WA JOHN NYERERE
![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s640/1.jpg)
Marehemu John alizaliwa mwaka 1957 jijini Dar es Salaam na enzi za uhai wake alikuwa Kapteni wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) akiwa rubani wa kurusha ndege za kivita.Kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia ni kwamba marehemu amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya mapafu na kisukari kwa muda mrefu.Enzi za uhai wake John alishiriki vita ya...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/yLvRo7uABBM/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi12 May
Mramba azungumzia uchumi kwenye msiba wa John Nyerere
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s72-c/1.jpg)
MZEE MANGULA NA NAPE WAHANI MSIBA WA JOHN NYERERE
![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s640/1.jpg)
Kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia ni kwamba marehemu amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya mapafu na kisukari kwa muda mrefu.Enzi za uhai wake John alishiriki vita ya kumng'oa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-mc6HHR7C15s/VPNVMVkUG9I/AAAAAAAC0wY/qZypBvtdPiQ/s72-c/15889_938839636150671_9032082101882973588_n.jpg)
VIONGOZI MBALIMBALI WAMIMINIKA KUHANI MSIBA WA KAPTEN KOMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-mc6HHR7C15s/VPNVMVkUG9I/AAAAAAAC0wY/qZypBvtdPiQ/s1600/15889_938839636150671_9032082101882973588_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XysoJI66Ymw/VPLwTGB4ffI/AAAAAAAAXSA/2oVW5SfRZ3U/s1600/013.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hNP-q10IRVI/VPLwY-_uXrI/AAAAAAAAXSQ/hwYILOanKhM/s1600/014.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-R7vQKs75sho/VPLwT4Y8ciI/AAAAAAAAXSI/5fIW_BA3YRM/s1600/012.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-81v5-TTZtVo/VPLwbDEdPXI/AAAAAAAAXSY/TlTsRdMTozY/s1600/018.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MARA (MARA DAY) BUTIAMA MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tsiZAHkOin0/VfhpxGyMqRI/AAAAAAAH5Eg/rSdPFad4r4M/s640/2.jpg)