Mramba azungumzia uchumi kwenye msiba wa John Nyerere
Aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba amesema kupungua kwa umaskini kunakoelezwa na baadhi ya wataalamu na wasomi ni suala la kitakwimu ambalo ni gumu kulithibitisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NefYiu42lUw/VYcyC2AKTkI/AAAAAAAHiPU/LpOGIUxkdUU/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
MEMBE AHUDHURIA MSIBA WA MTOTO WA JENERALI MSUGURI NA KUHANI MSIBA WA JOHN NYERERE BUTIAMA MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-NefYiu42lUw/VYcyC2AKTkI/AAAAAAAHiPU/LpOGIUxkdUU/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
10 years ago
Mtanzania12 May
Dk. Bilal aongoza waombeleza msiba wa John Nyerere
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal jana aliongoza mamia ya waombolezaji wakiwamo viongozi wa vyama na Serikali kuaga mwili wa mtoto wa Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere, John Nyerere.
Mbali na Dk. Bilal viongozi wengine waliokuwapo ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, Rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na Mke wa Rais Kikwete, Mama Salma Kikwete.
Akisoma wasifu wa marehemu, mdogo wake, Makongoro...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s72-c/1.jpg)
MANGULA NA NAPE WAHANI MSIBA WA JOHN NYERERE
![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s640/1.jpg)
Marehemu John alizaliwa mwaka 1957 jijini Dar es Salaam na enzi za uhai wake alikuwa Kapteni wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) akiwa rubani wa kurusha ndege za kivita.Kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia ni kwamba marehemu amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya mapafu na kisukari kwa muda mrefu.Enzi za uhai wake John alishiriki vita ya...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/yLvRo7uABBM/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s72-c/1.jpg)
MZEE MANGULA NA NAPE WAHANI MSIBA WA JOHN NYERERE
![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s640/1.jpg)
Kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia ni kwamba marehemu amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya mapafu na kisukari kwa muda mrefu.Enzi za uhai wake John alishiriki vita ya kumng'oa...
10 years ago
VijimamboRais Kikwete aifariji familia ya Nyerere kufuatia kifo cha John Nyerere
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo leo asubuhi nyumbani kwa Baba wa Taifa Hayati Julius Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha mwanaye John Nyerere kilichotokea hivi karibuni.Aliyesimama pembeni ya Rais ni mdogo wa marehemu Makongoro Nyerere.
11 years ago
Michuzi20 Mar
MWIGULU NCHEMBA AHUTUBIA BUNGE LA ACP NA EU,APINGA NDOA YA JINSIA MOJA,AZUNGUMZIA UCHUMI BARANI AFRIKA
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/s89xcQoHZ3smTTUg6F9J9UA1cLHH7wTBqqdVi0Y7Gg_12xlqKEEVBa-KHzfaWAVYKGzzGgl-U95TgbcA3cNC7qg65Q9XnRXZkEb6FELm2Sxd6aTOaysfO6sjwjczQ4K6V2e0qj4dsh2bY7Nqd_DMc3G5y2pmZhKN3e1g0eihTQDFSz8tW-9wtnFvow3y_CB6uoyN48-ipLRoWGvOLilSj8sXglICeyxSuGagOMvapkABwh0gsaNhDRY_hJKjpslzto10E83Woz1n0nVGGYiiLbSpdMoVhrrzivoQ_ped3b5Kl6-qrbdbvUz11u1tXFe7Z8ACxBC9kCuFluUiH-_nIQnLapyN1Eo=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-V_mfydUWiPY%2FUysFrzkMjnI%2FAAAAAAAACI8%2Fo3zGRj-Fjbg%2Fs1600%2F20140319_173530.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Katika hotuba yake, mhe Mwigulu alianza kwa kukishukuru chombo hicho kwa ajili ya msimamo wake usioyumba kwenye maswala ya amani akitolea mfano wa kazi nzuri waliofanya kwenye swala la Jamhuri ya Afrika ya Kati na Sudani Kusini. Mhe Mwigulu aliitaka Jumuiya ya Kimataifa imsaidie Rais wa muda Mama Carthrine Samba Panza ili kuwezesha kipindi cha mpito...
10 years ago
Bongo521 Aug
Steve Nyerere azungumzia tuhuma za kutumia cheo vibaya kuwanyonya wasanii wenzake
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Okj99fdrzII/VPUM8V3TKAI/AAAAAAAAR2M/fFRVFxrh6ak/s72-c/10981536_978431962168703_4427926673826498882_n.jpg)
DR WILBROAD SLAA AHUDHURIA MSIBA WA CAPTAIN JOHN KOMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Okj99fdrzII/VPUM8V3TKAI/AAAAAAAAR2M/fFRVFxrh6ak/s1600/10981536_978431962168703_4427926673826498882_n.jpg)