WIMBO MAALUMU WA MSIBA WA MAREHEMU JOHN KOMBA ULIOIMBWA NA TOT
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo02 Mar
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Okj99fdrzII/VPUM8V3TKAI/AAAAAAAAR2M/fFRVFxrh6ak/s72-c/10981536_978431962168703_4427926673826498882_n.jpg)
DR WILBROAD SLAA AHUDHURIA MSIBA WA CAPTAIN JOHN KOMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Okj99fdrzII/VPUM8V3TKAI/AAAAAAAAR2M/fFRVFxrh6ak/s1600/10981536_978431962168703_4427926673826498882_n.jpg)
10 years ago
Bongo Movies02 Mar
Maneno ya MPOKI Kuhusu Msiba wa Kapteni John KOMBA
Mwigizaji wa vichekesho wa Kundi la Orijino Komedi, Mujuni Sylivery aka Mpoki moja ya vitu ambavyo aliwahi kuvifanya katika kazi yake ya uchekeshaji ni pamoja na kuigiza sauti ya marehemu, Kapteni John KOMBA ambaye amefariki February 28.
Leo Mpoki amesikika kwenye Leo Tena CloudsFM, alianza kuzungumzia namna alivyopokea taarifa za msiba huo; “..Mtu akishatoweka kwenye ulimwengu akifariki dunia inauma kwa sababu mtu unayempoteza leo huwezi kumpata tena.. lakini ukimpoteza mbuzi utaenda...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/SFZzv1I3PRI/default.jpg)
RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU JOHN KOMBA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sBp_NkAub7s/VPNJodO9EPI/AAAAAAADbOQ/yGdIEwytG2U/s72-c/ko01.jpg)
RAIS KIKWETE AFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU KEPTENI JOHN KOMBA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-sBp_NkAub7s/VPNJodO9EPI/AAAAAAADbOQ/yGdIEwytG2U/s1600/ko01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wqpSsbr7ZUE/VPNJoSG-ZDI/AAAAAAADbOU/yuY42-jeg-c/s1600/ko2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
Ratiba ya kuaga rasmi mwili wa marehemu Capt. John Damiano Komba leo
Marehemu Capt. John Damiano Komba enzi za uhai wake.
257298487-Ratiba-Ya-Kuaga-Rasmi-Mwili-Wa-Marehemu-Capt-John-Damiano-Komba-Mb-Siku-Ya-Jumatatu-Tarehe-2-Mach… by moblog
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWkKMwKvat6HWYjamamJ*7cF5GK0mAwvIxuIO5*hg3oFv2BlwCMYsvkXne1osl-QicDvqjGz0TEtDPLBSP3p27sd/ko01.jpg)
RAIS KIKWETE AFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU KEPTENI JOHN KOMBA LEO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-EhxwFc-RS2Q/VPNPxQw62KI/AAAAAAAC0wI/IjrOTsEgYXY/s72-c/komba.gif)
RATIBA YA KUSAFIRISHA MWILI WA MAREHEMU MHE. CAPT. JOHN KOMBA ITAKUWA KAMA IFUATAVYO:
![](http://1.bp.blogspot.com/-EhxwFc-RS2Q/VPNPxQw62KI/AAAAAAAC0wI/IjrOTsEgYXY/s1600/komba.gif)
Kesho tarehe 02/3/2015 saa 1 asubuhi misa parokia ya Mt. Bikira Maria Mpalizwa iliopo mbezi , saa 4 asubuhi mwili utaelekea Karimjee kwa ajili ya kuagwa, na saa 8 mchana mwili utaelekea airport tayari kwa safari ya Songea. Mazishi yatafanyika tarehe 3/3/2015 kijijini kwake Lituhi.
Kufuatia Msiba huu shughuli za kamati hazitakuwepo kwa kesho tarehe 2/3/2015. Ukipata taarifa hii tafadhali mjulishe na mwingine.
IMETOLEWA NA;OFISI KATIBU WA BUNGE1.3.2015
10 years ago
CloudsFM03 Mar
Marehemu Kapt. John Komba kuzikwa leo kijijini kwao Lituhi,Nyasa,Ruvuma
Mwili wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi na mjumbe wa NEC,Marehemu Kapt.John Komba unatarajiwa kuzikwa leo kijijini kwao Lituhi,Nyasa mkoani Ruvuma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Jakaya Mrisho Kikwete, akiongoza maelfu ya Watanzania kuuaga mwili wa Kapteni John Komba, katika viwanja vya Karimjee jana jijini Dar es Salaam.