RATIBA YA KUSAFIRISHA MWILI WA MAREHEMU MHE. CAPT. JOHN KOMBA ITAKUWA KAMA IFUATAVYO:
![](http://1.bp.blogspot.com/-EhxwFc-RS2Q/VPNPxQw62KI/AAAAAAAC0wI/IjrOTsEgYXY/s72-c/komba.gif)
Marehemu Kapteni Komba enzi za Uhai wake.
Kesho tarehe 02/3/2015 saa 1 asubuhi misa parokia ya Mt. Bikira Maria Mpalizwa iliopo mbezi , saa 4 asubuhi mwili utaelekea Karimjee kwa ajili ya kuagwa, na saa 8 mchana mwili utaelekea airport tayari kwa safari ya Songea. Mazishi yatafanyika tarehe 3/3/2015 kijijini kwake Lituhi.
Kufuatia Msiba huu shughuli za kamati hazitakuwepo kwa kesho tarehe 2/3/2015. Ukipata taarifa hii tafadhali mjulishe na mwingine.
IMETOLEWA NA;OFISI KATIBU WA BUNGE1.3.2015
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
Ratiba ya kuaga rasmi mwili wa marehemu Capt. John Damiano Komba leo
Marehemu Capt. John Damiano Komba enzi za uhai wake.
257298487-Ratiba-Ya-Kuaga-Rasmi-Mwili-Wa-Marehemu-Capt-John-Damiano-Komba-Mb-Siku-Ya-Jumatatu-Tarehe-2-Mach… by moblog
10 years ago
Michuzi01 Mar
RATIBA YA KUAGA RASMI MWILI WA MAREHEMU CAPT. JOHN DAMIANO KOMBA, (MB.) KESHO JUMATATU TAREHE 2 MACHI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA UTARATIBU WA SAFARI
NA. MUDA TUKIO MHUSIKA
1. 12:00 - 01:00
Familia na Waombolezaji kupata chai nyumbani
Kaimu Katibu wa Bunge 2. 01:00 - 04:00 Misa ya kuaga mwili wa Marehemu
Kanisa Katoliki,Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa
3. 04:00 - 04:30 · Ndugu, Jamaa na Wananchi kuwasili katika Viwanja vya Karimjee
· Viongozi wa Vyama vya Siasa, Waheshimiwa Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika nafasi zao
Katibu wa Bunge
4. 04:33 Kiongozi ...
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-EhxwFc-RS2Q/VPNPxQw62KI/AAAAAAAC0wI/IjrOTsEgYXY/s1600/komba.gif)
RATIBA YA KUAGA RASMI MWILI WA MAREHEMU CAPT. JOHN DAMIANO KOMBA, (MB.) LEO JUMATATU TAREHE 2 MACHI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA UTARATIBU WA SAFARI
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
JK aongoza mamia kuaga mwili wa Capt. John Komba Karimjee leo
Kada wa CCM Mzee Kingunge Ngombale Mwiru akisalimiana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa wakati shughuli za kutoa heshima za mwisho msiba wa Captain John Komba katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam leo.
Rais mtsaafu wa awamu ya tatu, Mh. Benjamin William Mkapa akisalimiana na Mzee Kingunge alipowasili kwenye viwanja hivyo.
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mtungi (kulia) akiteta jambo na Mwenyekiti Mtendaji wa makapuni ya IPP, Dkt....
10 years ago
Dewji Blog04 Mar
SHIWATA waombeleza kifo cha Capt. John Komba
Na Mwandishi wetu
MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) unaungana na watanzania wote kuomboleza kifo cha Makamu Mwenyekiti wao, John Komba aliyefariki Jumamosi na kuzikwa jana nyumbani kwao kijiji cha Litui, Mbinga mkoa wa Ruvuma.
Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib katika salamu zake za rambirambi alisema mtandao huo umempoteza kiongozi mwadilifu aliyetumia kipaji chake cha usanii kuwaunganisha makundi ya wanamichezo,waigizaji, wasanii wa luninga, bongo movie,wacheza sarakasi na waandishi...
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
Matukio ya picha za viongozi waliofika nyumbani kwa Capt. Komba kuifariji familia ya marehemu
![](http://3.bp.blogspot.com/-MRKr5I6hqbk/VPLwRB2DHGI/AAAAAAAAXR4/kLGUxhAAZQA/s1600/01.jpg)
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa marehemu Kapteni John Komba aliyefariki jioni ya tarehe 28 februari 2015 jijini Dar es salaam,kushoto ni mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Salma Kikwete.
![](http://2.bp.blogspot.com/-pQR_0NHP4yI/VPLweBGGqWI/AAAAAAAAXSg/syLMj8WITXg/s1600/02.jpg)
Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole mke wa marehemu Kapteni John Komba nyumbani kwake Mbezi Tangi Bovu
![](http://1.bp.blogspot.com/-0hl16ZHxPME/VPLwhFv9rcI/AAAAAAAAXSo/GQUNfPmfpDc/s1600/07.jpg)
Wasanii wa TOT wakilia...
10 years ago
Vijimambo02 Mar
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-nZLq0tbQgEc/VL0JuHCuIEI/AAAAAAAAmwc/_Cy_HHW4j4Q/s72-c/john%2Bkomba.jpg)
Nyumba ya Capt.John Komba iliyopo Dar es Salaam yapigwa Mnada Baada ya Kushindwa Kulipa Deni
![](http://4.bp.blogspot.com/-nZLq0tbQgEc/VL0JuHCuIEI/AAAAAAAAmwc/_Cy_HHW4j4Q/s640/john%2Bkomba.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/AlluXhJUN1B42Ui3dU-N474HmY33XcaxxqFQE8gYTKzB.jpg)