RATIBA YA KUAGA RASMI MWILI WA MAREHEMU CAPT. JOHN DAMIANO KOMBA, (MB.) KESHO JUMATATU TAREHE 2 MACHI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA UTARATIBU WA SAFARI
NA.
1. 12:00 - 01:00
Familia na Waombolezaji kupata chai nyumbani
Kaimu Katibu wa Bunge 2. 01:00 - 04:00 Misa ya kuaga mwili wa Marehemu
Kanisa Katoliki,Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa
3. 04:00 - 04:30 · Ndugu, Jamaa na Wananchi kuwasili katika Viwanja vya Karimjee
· Viongozi wa Vyama vya Siasa, Waheshimiwa Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika nafasi zao
Katibu wa Bunge
4. 04:33 Kiongozi ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-EhxwFc-RS2Q/VPNPxQw62KI/AAAAAAAC0wI/IjrOTsEgYXY/s1600/komba.gif)
RATIBA YA KUAGA RASMI MWILI WA MAREHEMU CAPT. JOHN DAMIANO KOMBA, (MB.) LEO JUMATATU TAREHE 2 MACHI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA UTARATIBU WA SAFARI
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
Ratiba ya kuaga rasmi mwili wa marehemu Capt. John Damiano Komba leo
Marehemu Capt. John Damiano Komba enzi za uhai wake.
257298487-Ratiba-Ya-Kuaga-Rasmi-Mwili-Wa-Marehemu-Capt-John-Damiano-Komba-Mb-Siku-Ya-Jumatatu-Tarehe-2-Mach… by moblog
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OQExrRc44Ys/VYwRpbnf6fI/AAAAAAAHj94/j4G1Q0vKSG0/s72-c/s.jpg)
RATIBA YA KUAGA RASMI NA MAZISHI YA MAREHEMU DONALD MAX, SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 27 JUNI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA MAKABURI YA KINONDONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-OQExrRc44Ys/VYwRpbnf6fI/AAAAAAAHj94/j4G1Q0vKSG0/s400/s.jpg)
NA. MUDA TUKIO MHUSIKA MAHALI 1. 12:00 - 02:00 Familia kuandaa Mwili wa Marehemu Familia Nyumbani 2. 02:00 - 04:00 Taratibu za Kimila Familia Nyumbani 3. 04:00 - 05:00 Chai/Chakula Familia Nyumbani 4. 04:00 - 05:00 § Waombolezaji kuwasili katika Viwanja vya Karimjee Katibu wa Bunge Karimjee
§ Viongozi wa Vyama vya Siasa, Waheshimiwa wa Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika Nafasi zao ...
10 years ago
CloudsFM02 Mar
marehemu Kapt.John Komba kuagwa leo katika viwanja vya karimjee ,Dar kuzikwa kwao kesho Nyasa
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
JK aongoza mamia kuaga mwili wa Capt. John Komba Karimjee leo
Kada wa CCM Mzee Kingunge Ngombale Mwiru akisalimiana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa wakati shughuli za kutoa heshima za mwisho msiba wa Captain John Komba katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam leo.
Rais mtsaafu wa awamu ya tatu, Mh. Benjamin William Mkapa akisalimiana na Mzee Kingunge alipowasili kwenye viwanja hivyo.
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mtungi (kulia) akiteta jambo na Mwenyekiti Mtendaji wa makapuni ya IPP, Dkt....
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-3YIfMv8jjCA/VPRsc6iwVaI/AAAAAAADbQM/Lk9khKGHnt0/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAREHEMU KAPTEN KOMBA VIWANJA VYA KARIMJEE DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-3YIfMv8jjCA/VPRsc6iwVaI/AAAAAAADbQM/Lk9khKGHnt0/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nD6sJq4xwN0/VPRsc3bbuDI/AAAAAAADbQI/XNrbzh2SgXk/s1600/02.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-EhxwFc-RS2Q/VPNPxQw62KI/AAAAAAAC0wI/IjrOTsEgYXY/s72-c/komba.gif)
RATIBA YA KUSAFIRISHA MWILI WA MAREHEMU MHE. CAPT. JOHN KOMBA ITAKUWA KAMA IFUATAVYO:
![](http://1.bp.blogspot.com/-EhxwFc-RS2Q/VPNPxQw62KI/AAAAAAAC0wI/IjrOTsEgYXY/s1600/komba.gif)
Kesho tarehe 02/3/2015 saa 1 asubuhi misa parokia ya Mt. Bikira Maria Mpalizwa iliopo mbezi , saa 4 asubuhi mwili utaelekea Karimjee kwa ajili ya kuagwa, na saa 8 mchana mwili utaelekea airport tayari kwa safari ya Songea. Mazishi yatafanyika tarehe 3/3/2015 kijijini kwake Lituhi.
Kufuatia Msiba huu shughuli za kamati hazitakuwepo kwa kesho tarehe 2/3/2015. Ukipata taarifa hii tafadhali mjulishe na mwingine.
IMETOLEWA NA;OFISI KATIBU WA BUNGE1.3.2015
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake, Dkt. Bilal wawaongoza wananchi kuaga mwili wa marehemu William Shija viwanja vya Karimjee Dar leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola, marehemu Dkt. William Shija, wakati wa zoezi la kuagwa mwili lililofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Oktoba 12, 2014. (Picha na OMR).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akiwafariji wanafamilia wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-63rGccYLwBU/VY8zzgyaSjI/AAAAAAAHkwc/DPYdGq89w_c/s72-c/m2.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE ALIPOONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA GEITA MAREHEMU DONALD KELVIN MAX VIWANJA VYA KARIMJEE, DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-63rGccYLwBU/VY8zzgyaSjI/AAAAAAAHkwc/DPYdGq89w_c/s640/m2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-C-iDEtuajMc/VY8_o42eVmI/AAAAAAAHk0M/FF3sqYXuUME/s640/m3.jpg)