MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAREHEMU KAPTEN KOMBA VIWANJA VYA KARIMJEE DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-3YIfMv8jjCA/VPRsc6iwVaI/AAAAAAADbQM/Lk9khKGHnt0/s72-c/01.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakeze Mama Zakhia Bilal na Mama Asha Bilal, wakitoa heshima zao za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu, Kapteni John Komba, wakati wa shughuli za kuaga mwili huo zilizofanyika leo Machi 2, 2015 kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam. Baada ya shughuli hiyo mwili wa marehemu umesafirishwa kuelekea Kijiji cha Litui Wilayani Mbinga mkoa wa Ruvuma kwa maziko.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake, Dkt. Bilal wawaongoza wananchi kuaga mwili wa marehemu William Shija viwanja vya Karimjee Dar leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola, marehemu Dkt. William Shija, wakati wa zoezi la kuagwa mwili lililofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Oktoba 12, 2014. (Picha na OMR).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akiwafariji wanafamilia wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7bpDet-NTD4/VY7v2fWvRjI/AAAAAAAHkoo/SLreoS5klxE/s72-c/3.jpg)
RAIS KIKWETE, MAKAMU WAKE DKT. BILAL WAWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA GEITA, VIWANJA VYA KARIMJEE, DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-7bpDet-NTD4/VY7v2fWvRjI/AAAAAAAHkoo/SLreoS5klxE/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O1h36ZZoqjY/VY7vz4M4MyI/AAAAAAAHkoY/ViNgXqGOyF8/s640/1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wALBu4r8csU/VY5r6oigCrI/AAAAAAACeeg/1p-aYOJdkHM/s72-c/05.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE NA MAKAMU WAKE DKT. BILAL WAWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA GEITA, VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-wALBu4r8csU/VY5r6oigCrI/AAAAAAACeeg/1p-aYOJdkHM/s640/05.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C-AeUtly-s0/VY5ry9v8IvI/AAAAAAACeds/swLjd4PRln0/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PH2avRW1yxk/VY5rzKm6yhI/AAAAAAACedo/IEYeTOpvR10/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_i1ghNbU8xM/VDpavLrUQTI/AAAAAAAGpfU/Q4dSsHFhhjo/s72-c/s1.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA SHUGHULI YA KUAGA MWILI WA DKT SHIJA VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-_i1ghNbU8xM/VDpavLrUQTI/AAAAAAAGpfU/Q4dSsHFhhjo/s1600/s1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2Kg735QKSYo/VDpaw82f0_I/AAAAAAAGpfc/Cau2ahdQNZg/s1600/s2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CrCtxSMl_L0/VDqPGQpDPnI/AAAAAAAGpjo/uEqGwm-qJEA/s1600/s3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-whfL0W27Lic/U3DHOOlgEOI/AAAAAAAFhHE/sUmyKr5b76g/s72-c/unnamed+(25).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAREHEMU FROSSIE CHIYAONGA BALOZI WA MALAWI NCHINI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-whfL0W27Lic/U3DHOOlgEOI/AAAAAAAFhHE/sUmyKr5b76g/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PBHMRLQpLqg/U3DHOA5OtWI/AAAAAAAFhGM/xAYc2Qz-tyQ/s1600/unnamed+(26).jpg)
11 years ago
Dewji Blog13 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ashiriki kuaga mwili wa marehemu Flossie Chidyaonga Balozi wa Malawi nchini
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania, Balozi Frossie Chiyaonga, wakati wa shughuli za kuaga mwili wa marehemu zilizofanyika kwenye Ukumbi wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam, leo Mei 12, 2014. Mwili huo unatarajia kusafirishwa kuelekea Malawi kwa maziko. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa...
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-EhxwFc-RS2Q/VPNPxQw62KI/AAAAAAAC0wI/IjrOTsEgYXY/s1600/komba.gif)
RATIBA YA KUAGA RASMI MWILI WA MAREHEMU CAPT. JOHN DAMIANO KOMBA, (MB.) LEO JUMATATU TAREHE 2 MACHI, 2015 KATIKA VIWANJA VYA KARIMJEE NA UTARATIBU WA SAFARI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Om9ReL4utVg/Vh9e9vZT7zI/AAAAAAAIABM/6WI-SQH_Tn8/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGWA MWILI WA MAREHEMU DKT. KIGODA KARIMJEE DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Om9ReL4utVg/Vh9e9vZT7zI/AAAAAAAIABM/6WI-SQH_Tn8/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lbcyLNat5q8/Vh9e9reA_UI/AAAAAAAIABE/UV-1qhAab-E/s640/02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0TgNQ23mXB4/Vh9e-dY-GiI/AAAAAAAIABU/2Zq8upR0UpY/s640/04.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-78BAPcbJjdY/Vh9e_3N2p_I/AAAAAAAIABw/7GZpUFoFbF4/s640/07.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ashiriki kuaga mwili wa mama mzazi wa Dkt. Edward Hosea, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kwenye Kitabu cha maombolezo ya marehemu Esther Gigwa, Mama mzazi wa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dkt. Edward Hosea, wakati alipofika kushiriki kuaga mwili huo nyumbani kwa mkurugenzi huyo, Masaki jijini Dar es Salaam, leo Feb 27, 2015. (Picha na OMR).
Wanafamilia wafiwa wakiwa katika shughuli hiyo ya maziko.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji,...