Marehemu Kapt. John Komba kuzikwa leo kijijini kwao Lituhi,Nyasa,Ruvuma
Mwili wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi na mjumbe wa NEC,Marehemu Kapt.John Komba unatarajiwa kuzikwa leo kijijini kwao Lituhi,Nyasa mkoani Ruvuma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Jakaya Mrisho Kikwete, akiongoza maelfu ya Watanzania kuuaga mwili wa Kapteni John Komba, katika viwanja vya Karimjee jana jijini Dar es Salaam.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM02 Mar
marehemu Kapt.John Komba kuagwa leo katika viwanja vya karimjee ,Dar kuzikwa kwao kesho Nyasa
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vwv0splDMeg/VPX8qsumKqI/AAAAAAAAXZk/P64U4HHVFcc/s72-c/1.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA KAPTENI JOHN KOMBA KIJIJINI KWAKE LITUHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vwv0splDMeg/VPX8qsumKqI/AAAAAAAAXZk/P64U4HHVFcc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LzHplbpto68/VPX8ybFLTEI/AAAAAAAAXaU/-WA0Xp_szPU/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gCx3n0hvDVw/VPX80ka9eqI/AAAAAAAAXac/OnXYPz4U0io/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4OFHzLJ7-Xo/VPX85s0qLoI/AAAAAAAAXak/glmFHfCI9CI/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5qWldsM4JQc/VPX9CojehAI/AAAAAAAAXas/UeW92pNm57Y/s1600/9.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_I19nvPA2_U/U5LWuwi80zI/AAAAAAAFoS8/CpX3WEU6W-Q/s72-c/Gebo+kuagwa+2.jpg)
Mwili wa Marehemu Gebbo Peter waagwa leo nyumbani kwake Vingunguti,Kuzikwa kijijini kwao Kigurunyembe mkoani Morogoro
![](http://2.bp.blogspot.com/-_I19nvPA2_U/U5LWuwi80zI/AAAAAAAFoS8/CpX3WEU6W-Q/s1600/Gebo+kuagwa+2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vqhnz2On3e8/U5LXEY1tDrI/AAAAAAAFoTs/rDBFcKbHCVs/s1600/gebo+kuwagwa+8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4f7ggvZ2Nqc/U5LW0cuv8AI/AAAAAAAFoTI/3e3iEd3LKNs/s1600/gebo+kuagwa+3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pR7fzHuKxrQ/U5LW5cGnJRI/AAAAAAAFoTU/i8FlWGZ1eoc/s1600/gebo+kuagwa+6.jpg)
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Mazishi ya mwandishi wa habari “Thomas Lipuka Komba”aliyezikwa kijijini kwao Mkili wilayani Nyasa
Baadhi ya Waandishi wa habari wakiwa mbele ya sanduku Marehemu Lipuka Komba.
Baadhi ya waandishi wa habari wa Mkoa wa Ruvuma wakishusha sanduku kaburini.
Katibu mtendaji wa Ruvuma Press akichukuwa matukio.
Mjane wa marehemu Christina Haule akiweka shada la maua.
Mwandishi wa habari Thomas Lipuka Komba amezikwa kijijini kwake Mkili wilayani Nyasa Juzi.
Marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa Moyo kwa muda mrefu hali iliyosababisha kifo cha ghafla.
Marehemu Thomas Lipuka Komba ni...
10 years ago
MichuziRais Kikwete aongoza mazishi ya Kapteni Komba,kijijini lituhi leo
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA KAPTENI DAMIANO KOMBA KIJIJINI LITUHI LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wZ95rsyc_bw/XkkKDdif_5I/AAAAAAALdj4/7nBxOExN2RUGv6QsoJhjNDzYdr-QzOWlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-16%2Bat%2B12.10.36.jpeg)
JAJI SEPETU WA MAHAKAMA KUU ZANZIBAR AFARIKI DUNIA, KUZIKWA LEO KIJIJINI KWAO MBUZINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wZ95rsyc_bw/XkkKDdif_5I/AAAAAAALdj4/7nBxOExN2RUGv6QsoJhjNDzYdr-QzOWlgCLcBGAsYHQ/s1600/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-16%2Bat%2B12.10.36.jpeg)
JAJI wa Mahakama kuu ya Zanzibar Mhe Mkusa Issack Sepetu amefariki dunia asubuhi ya leo na mjini hapa.
Kwa mujibu wa taarifa ya Afisa Habari wa Mahakama Kuu Zanzibar, asubuhi ya leo February 16, ilieza taarifa juu ya kifo hicho.
Pia inaelezwa kuwa, maziko yanataraji kufanyika leo saa 10 Kijijini kwao Mbuzini.
Enzi za uhai wake amewahi kushika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Mwanasheria mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na baadae Kaimu jaji mkuu wa Zanzibar.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-f5OD4F0fcaU/XkkFgZEs0cI/AAAAAAAAmuE/_67-noGjE6AmLIRzlx_8TbDBzOX7tu0JQCLcBGAsYHQ/s72-c/fe7cc182-8e9a-4938-a907-18314cfd9b19.jpg)
JAJI SEPETU WA MAHAKAMA KUU ZANZIBAR AFARIKI DUNIA, KUZIKWA LEO KIJIJINI KWAO MBUZINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-f5OD4F0fcaU/XkkFgZEs0cI/AAAAAAAAmuE/_67-noGjE6AmLIRzlx_8TbDBzOX7tu0JQCLcBGAsYHQ/s640/fe7cc182-8e9a-4938-a907-18314cfd9b19.jpg)
NA ANDREW CHALE, UNGUJA,ZANZIBAR
JAJI wa Mahakama Kuu ya Zanzibar Mhe Mkusa Issack Sepetu amefariki Dunia asubuhi ya leo na mjini hapa.
Kwa mujibu wa taarifa ya Afisa Habari wa Mahakama Kuu Zanzibar, asubuhi ya leo February 16, ilieleza taarifa juu ya kifo hicho.
Pia inaelezwa kuwa, maziko yanataraji kufanyika leo saa 10 Kijijini kwao Mbuzini.
Enzi za uhai wake amewahi kushika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na baadae Kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar.