Mazishi ya mwandishi wa habari “Thomas Lipuka Komba”aliyezikwa kijijini kwao Mkili wilayani Nyasa
Baadhi ya Waandishi wa habari wakiwa mbele ya sanduku Marehemu Lipuka Komba.
Baadhi ya waandishi wa habari wa Mkoa wa Ruvuma wakishusha sanduku kaburini.
Katibu mtendaji wa Ruvuma Press akichukuwa matukio.
Mjane wa marehemu Christina Haule akiweka shada la maua.
Mwandishi wa habari Thomas Lipuka Komba amezikwa kijijini kwake Mkili wilayani Nyasa Juzi.
Marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa Moyo kwa muda mrefu hali iliyosababisha kifo cha ghafla.
Marehemu Thomas Lipuka Komba ni...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM03 Mar
Marehemu Kapt. John Komba kuzikwa leo kijijini kwao Lituhi,Nyasa,Ruvuma
Mwili wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi na mjumbe wa NEC,Marehemu Kapt.John Komba unatarajiwa kuzikwa leo kijijini kwao Lituhi,Nyasa mkoani Ruvuma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Jakaya Mrisho Kikwete, akiongoza maelfu ya Watanzania kuuaga mwili wa Kapteni John Komba, katika viwanja vya Karimjee jana jijini Dar es Salaam.
10 years ago
MichuziRais Kikwete aongoza mazishi ya Kapteni Komba,kijijini lituhi leo
10 years ago
CloudsFM02 Mar
marehemu Kapt.John Komba kuagwa leo katika viwanja vya karimjee ,Dar kuzikwa kwao kesho Nyasa
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA KAPTENI DAMIANO KOMBA KIJIJINI LITUHI LEO
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vwv0splDMeg/VPX8qsumKqI/AAAAAAAAXZk/P64U4HHVFcc/s72-c/1.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA KAPTENI JOHN KOMBA KIJIJINI KWAKE LITUHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vwv0splDMeg/VPX8qsumKqI/AAAAAAAAXZk/P64U4HHVFcc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LzHplbpto68/VPX8ybFLTEI/AAAAAAAAXaU/-WA0Xp_szPU/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gCx3n0hvDVw/VPX80ka9eqI/AAAAAAAAXac/OnXYPz4U0io/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4OFHzLJ7-Xo/VPX85s0qLoI/AAAAAAAAXak/glmFHfCI9CI/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5qWldsM4JQc/VPX9CojehAI/AAAAAAAAXas/UeW92pNm57Y/s1600/9.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-C43uPcmhyO0/VTASKxc5EvI/AAAAAAAHRks/VxwQHQBpfSE/s72-c/3.jpg)
mazishi ya Chigwele Che Mundugwao kufanyika kwao wilayani masasi, Mtwara, kesho
![](http://2.bp.blogspot.com/-C43uPcmhyO0/VTASKxc5EvI/AAAAAAAHRks/VxwQHQBpfSE/s1600/3.jpg)
MAZISHI ya aliyekuwa msanii wa muziki wa asili Chigwele Che Mundugwao, 46, aliyefariki dunia jana asubuhi katika hospitali ya taifa Muhimbili, yanatarajiwa kufanyika kesho Ijumaa Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania Ado Novemba, alisema marehemu alifikwa na umauti huo baada ya kufikishwa hospitalini akitokea Keko gerezani ambako alikuwa mahabusi.“Marehemu Che Mundugwao alikuwa akisumbuliwa na tatizo la upungufu wa damu miezi miwili iliyopita, akiwa huko...
11 years ago
Michuzi07 Aug
MAZISHI YA ANDREA DUMA BABA WA MWANDISHI WA HABARI WA MOblog SINGIDA
![DSC00331](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC00331.jpg)
![DSC00343](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC00343.jpg)
![DSC00357](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC00357.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC00331.jpg)
MAZISHI YA ANDREA DUMA BABA WA MWANDISHI WA HABARI WA MOblog SINGIDA