MAZISHI YA ANDREA DUMA BABA WA MWANDISHI WA HABARI WA MOblog SINGIDA
Jeneza lililobeba mwili wa mchungaji mstaafu wa kanisa la Free Pentekoste (FPCT) Ihanja wilaya ya Ikungi, Andrew Duma (92).
Katibu mkuu wa makanisa ya Free Pentekoste nchini,Elias Shija, akihubiri kwenye ibada ya mazishi ya mchungaji mstaafu wa Free Pentekoste Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, Andrea Duma.
Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) Singida mjini, Hassan Mazala, akitoa nasaha zake kwenye ibada ya mazishi ya mchungaji mstaafu wa kanisa la Free Pentekoste Ihanja wilaya ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC00331.jpg)
MAZISHI YA ANDREA DUMA BABA WA MWANDISHI WA HABARI WA MOblog SINGIDA
10 years ago
MichuziWENGI WAJITOKEZA MAZISHI YA MWANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO, MAREHEMU BARAKA KARASHANI LEO
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Mazishi ya mwandishi wa habari “Thomas Lipuka Komba”aliyezikwa kijijini kwao Mkili wilayani Nyasa
Baadhi ya Waandishi wa habari wakiwa mbele ya sanduku Marehemu Lipuka Komba.
Baadhi ya waandishi wa habari wa Mkoa wa Ruvuma wakishusha sanduku kaburini.
Katibu mtendaji wa Ruvuma Press akichukuwa matukio.
Mjane wa marehemu Christina Haule akiweka shada la maua.
Mwandishi wa habari Thomas Lipuka Komba amezikwa kijijini kwake Mkili wilayani Nyasa Juzi.
Marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa Moyo kwa muda mrefu hali iliyosababisha kifo cha ghafla.
Marehemu Thomas Lipuka Komba ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eAwvFvJxicU/XnzS7dtYIpI/AAAAAAALlNs/FoUk9XQXi7MN6WYsBqq8_KedWrdYRQQPgCLcBGAsYHQ/s72-c/d6af6ff5-9761-4a3e-a38b-5f3b36bd93e0.jpg)
MAMIA YA WAOMBOLEZAJIÂ JIJINI DAR WAJITOKEZA KATIKA MAZISHI YA MWANDISHI MKONGWE WA HABARI ZA MICHEZO NCHINI ASHA MUHAJIÂ
MAMIA ya waombolezaji wakiwemo waandishi wa habari wa kada mbalimbali na wanamichezo wamejitokeza law wingi katika mazishi ya aliyekuwa Mwandishi wa habari nguli za michezo Asha Muhaji(50) ambaye amezikwa katika makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni jijini Dar es Salaam.
Katika mazishi ya marehemu Asha ,viongozi wa vitabu mbalimbali na wadau wa soka wameeleza kuwa kifo chake kimeacha pengo kubwa kubwa katika tasnia ya Michezo na sekta ya habari hasa za Michezo...
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Camera ya MOblog yamulika wakazi wa mji wa Singida wakifuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA
Baadhi ya wakazi wa mji wa Singida ,wakifuatilia kwa makini hutoba ya mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Freeman Mbowe, wakati akihutubia Watanzania kupitia kituo cha televisheni cha ITV jana kwenye mkutano mkuu wa uchaguzi wa chama hicho cha upinzani.(Picha na Nathaniel Limu).
10 years ago
MichuziMAMIA WAMUAGA MWANDISHI WA HABARI WA NEW HABARI 2006 LTD, MAREHEMU INOCENT MUNYUKU
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jKbHTUCI9nY/VVyvMaoHawI/AAAAAAAHYmM/nq_asndkby0/s72-c/unnamed%2B%252827%2529%2B-%2BCopy.jpg)
MAZISHI YA MWANDISHI WATBC SAMWELI CHAMULOMO MJINI DODOMA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-jKbHTUCI9nY/VVyvMaoHawI/AAAAAAAHYmM/nq_asndkby0/s640/unnamed%2B%252827%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2oGb1DyIoYQ/VVyvM3em8dI/AAAAAAAHYmU/mFsu6dtiSSU/s640/unnamed%2B%252828%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uFBhLKyGrpg/VVyvNFM1DxI/AAAAAAAHYmw/shh00QjQiok/s640/unnamed%2B%252829%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oYvvBG3Zedw/VVyvN9VkUcI/AAAAAAAHYmg/xPAVlUZdQIs/s640/unnamed%2B%252830%2529%2B-%2BCopy.jpg)
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
Hillary Shoo wa Jambo Leo Singida, anyakua cheti maalumu kwa uandishi bora wa habari za Usalama Barabarani mkoa wa Singida
Mwandishi wa habari wa Gazeti la Jamboleo Mkoa wa Singida, Hillary Shoo,akipokea cheti maalumu kutoka kwa Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Singida, Aziza Mumba ikiwa ni mchango wake mkubwa katika kuandika habari za kuelimisha jamii juu ya wiki ya nenda kwa usalama barabara Mkoa wa Singida, halfa hiyo ilifanyika jana kwenye viwanja vya kituo cha mabasi yaendeyo mikoani, kulia ni Kamanda wa polisi Mkoani humo Thobias Sedoyeka.( PICHA NA MPIGA HISANI YA MO BLOG).