MAZISHI YA MWANDISHI WATBC SAMWELI CHAMULOMO MJINI DODOMA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-jKbHTUCI9nY/VVyvMaoHawI/AAAAAAAHYmM/nq_asndkby0/s72-c/unnamed%2B%252827%2529%2B-%2BCopy.jpg)
a Mke wa Waziri mkuu,Mama tunu Pinda akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Samweli Chamulomo baada ya ibada ya kumwombea marehemu iliyofanyika nyumbani kwa marehemu, eneo la Mlezi
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Chiku Galawa akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Samweli Chamulomo baada ya ibada ya kumwombea marehemu iliyofanyika nyumbani kwa marehemu, eneo la Mlezi, Dodoma,
Mkurugenzi Mkuu wa TBC Bw. Clement Mshana na waombolezaji wengine wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu Samweli...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-TFLonIQWdsw/VV1kO3gyYqI/AAAAAAABPCQ/q82ZJXGxYwQ/s72-c/PG4A5948.jpg)
MAMIA YA WAOMBOLEZAJI WAJITOKEZA KATIKA MAZIKO YA MWANDISHI WA TBC SAMWELI CHAMULOMO
![](http://2.bp.blogspot.com/-TFLonIQWdsw/VV1kO3gyYqI/AAAAAAABPCQ/q82ZJXGxYwQ/s640/PG4A5948.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4W1xpEIsBZs/VV1kSKNKy6I/AAAAAAABPCY/VRSAXmHUX_0/s640/443.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GBrowQ7wY-c/VV1kTCWeHYI/AAAAAAABPCo/aP3o2MrKbf0/s640/535.jpg)
10 years ago
MichuziWENGI WAJITOKEZA MAZISHI YA MWANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO, MAREHEMU BARAKA KARASHANI LEO
11 years ago
GPLWAZIRI MKUU PINDA ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU MHOGOLO MJINI DODOMA
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU MHOGOLO WA ANGLIKANI MJINI DODOMA
10 years ago
VijimamboMHE. SAMWELI NTAMBALA LWANGISA AZIKWA MJINI BUKOBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-zvelMBoKWHU/VW9Y1nMdUvI/AAAAAAAAbxk/XJywtJ9X9Sw/s640/11271934_870514296330054_290073214_n.jpg)
10 years ago
Michuzi04 Sep
Naibu Mwanasheria Mkuu amewasilisha Mahakamani pingamizi la awali dhidi ya kesi ya kuhoji mamlaka ya Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari Said Kubenea
NAIBU Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, leo amewasilisha pingamizi la awali dhidi ya kesi ya kuhoji mamlaka ya Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari Said Kubenea dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) kwamba maombi hayo ni batili kisheria na hayawezi kuthibitishwa mahakamani, hivyo yatupiliwe mbali.
Masaju amewasilisha pingamizi hilo akitoa sababu nne, akiitaka mahakama kutupilia mbali maombi yaliyopo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uypXQ3bvE1I/VaJoYqtu7ZI/AAAAAAAHpBE/mQtsD4xJtaQ/s72-c/IMGL0622.jpg)
UPDATES KUTOKA DODOMA: RAIS KIKWETE AFUNGA MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA LEO, KUMTAMBULISHA MAGUFULI UWANJA WA JAMHURI JIONI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-uypXQ3bvE1I/VaJoYqtu7ZI/AAAAAAAHpBE/mQtsD4xJtaQ/s640/IMGL0622.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pZtwWjf61VA/VaJodZi-wZI/AAAAAAAHpBM/i5ZVPFCDU78/s640/IMGL0621.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LE52u3rOGIY/VaJpp0bu0tI/AAAAAAAHpBs/BdcKBrVYaso/s640/IMGL0248.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8hXvdlETxLo/VaJr-Wa5PQI/AAAAAAAHpDg/UbBEJo7VsS8/s640/IMG_3887%2Bcopy.jpg)
11 years ago
MichuziASKARI POLISI WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA GARI WAAGWA LEO MKOANI DODOMA TAYALI KWA MAZISHI
Akiongea kwa masikitiko Kamishna Msaidi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME amewashukuru watu waliojitokeza kuungana pamoja kuaga miili ya Askari hao.
Pia amewataka madereva wote kuwa waangalifu wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto na kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kuepuka ajali zinazoweza kujitokeza za namna hii.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pMcZqybOOV0/UxxR6yvHz6I/AAAAAAAFSXw/wZZIId5E5ns/s72-c/unnamed+(16).jpg)
JK atua mjini DODOMA leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-pMcZqybOOV0/UxxR6yvHz6I/AAAAAAAFSXw/wZZIId5E5ns/s1600/unnamed+(16).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bbnF3tYxFic/UxxR6-tfvrI/AAAAAAAFSX0/ccM_4GFGdn4/s1600/unnamed+(17).jpg)