MAMIA YA WAOMBOLEZAJIÂ JIJINI DAR WAJITOKEZA KATIKA MAZISHI YA MWANDISHI MKONGWE WA HABARI ZA MICHEZO NCHINI ASHA MUHAJIÂ
![](https://1.bp.blogspot.com/-eAwvFvJxicU/XnzS7dtYIpI/AAAAAAALlNs/FoUk9XQXi7MN6WYsBqq8_KedWrdYRQQPgCLcBGAsYHQ/s72-c/d6af6ff5-9761-4a3e-a38b-5f3b36bd93e0.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
MAMIA ya waombolezaji wakiwemo waandishi wa habari wa kada mbalimbali na wanamichezo wamejitokeza law wingi katika mazishi ya aliyekuwa Mwandishi wa habari nguli za michezo Asha Muhaji(50) ambaye amezikwa katika makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni jijini Dar es Salaam.
Katika mazishi ya marehemu Asha ,viongozi wa vitabu mbalimbali na wadau wa soka wameeleza kuwa kifo chake kimeacha pengo kubwa kubwa katika tasnia ya Michezo na sekta ya habari hasa za Michezo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWENGI WAJITOKEZA MAZISHI YA MWANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO, MAREHEMU BARAKA KARASHANI LEO
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u7y6v6WMEvI/VmEvhIpZFuI/AAAAAAAAmw4/NPAePFu1KwA/s72-c/SI_20151204_091154.jpg)
Mwandishi Mkongwe wa Habari za Michezo nchini Willie Chiwango afariki dunia.
![](http://1.bp.blogspot.com/-u7y6v6WMEvI/VmEvhIpZFuI/AAAAAAAAmw4/NPAePFu1KwA/s640/SI_20151204_091154.jpg)
Taarifa kutoka mtoto wa marehemu, Stephen Chiwango (61), zinasema mauti ya limfika baba yao jana saa 5:30 usiku katika hospitali ya Masana iliyopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam alikokua amelazwa kwa matibabu na alikua akisumbuliwa na matatizo ya kichwa.Alisema kuwa mauti yalimkuta katika hospitalini hapo akifanyiwa vipimo zaidi ili kujua tatizo la mwandishi huyo ambaye chombo chake cha mwisho kukifanyia kazi ni Tanzania Standard Newspapers (TSN) akiwa ni Mhariri...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XX35osqgFYk/VZLR4s1JFJI/AAAAAAAHl6s/IcgchIyer4M/s72-c/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
KESI YA MIRATHI YA MALI ZA MWANDISHI WA HABARI MKONGWE NCHINI YAUNGURUMA JIJINI ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-XX35osqgFYk/VZLR4s1JFJI/AAAAAAAHl6s/IcgchIyer4M/s400/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
Hilda, ambaye amefunguliwa kesi na kaka wa marehemu, Ssarongo Luzuka akimtuhumu kujimilikisha mali za marehemu bila kufuata utaratibu wa kifamilia...
10 years ago
Dewji Blog30 Jul
Mahakama yatupilia mbali pingamizi katika kesi ya mirathi ya Mwandishi wa habari mkongwe nchini
Pichani ni mwandishi wa habari mkongwe nchini marehemu, Betty Luzuka enzi za uhai wake.
Aliyekuwa Ofisa mwandamizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Phil Kleruu.
Na Mwandishi wetu, Arusha
Mahakama ya mwanzo ya Maromboso imetupilia mbali kesi ya pingamizi iliyofunguliwa na mke wa aliyekuwa ofisa mwandamizi wa jumuiya ya Afrika Mashariki,Phil Kleruu aitwaye Hilda Kleruu kwa madai kwamba siyo mwaminifu na hivyo amekosa sifa ya kuwa msimamizi wa mirathi ya mwandishi wa habari mkongwe nchini...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-TFLonIQWdsw/VV1kO3gyYqI/AAAAAAABPCQ/q82ZJXGxYwQ/s72-c/PG4A5948.jpg)
MAMIA YA WAOMBOLEZAJI WAJITOKEZA KATIKA MAZIKO YA MWANDISHI WA TBC SAMWELI CHAMULOMO
![](http://2.bp.blogspot.com/-TFLonIQWdsw/VV1kO3gyYqI/AAAAAAABPCQ/q82ZJXGxYwQ/s640/PG4A5948.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4W1xpEIsBZs/VV1kSKNKy6I/AAAAAAABPCY/VRSAXmHUX_0/s640/443.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GBrowQ7wY-c/VV1kTCWeHYI/AAAAAAABPCo/aP3o2MrKbf0/s640/535.jpg)
11 years ago
MichuziMamia wamzika bondia mkongwe Iraq Hudu jijini Dar es salaam leo
10 years ago
GPLMAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA KAKA WA MWANDISHI WA GPL
10 years ago
MichuziMAMIA YAMUAGA MWANDISHI KAMUKARA JIJINI DAR ES SALAAM LEO.
Akizungumza juu ya kifo chake ,Mwenyekiti wa...
10 years ago
MichuziMAMIA WAMUAGA MWANDISHI WA HABARI WA NEW HABARI 2006 LTD, MAREHEMU INOCENT MUNYUKU