Mamia wamzika bondia mkongwe Iraq Hudu jijini Dar es salaam leo
Na Francis Dande MAMIA ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaamna vitongoji vyake, wakiwemo wanamichezo, leo wamejitokeza katika mazishi ya bondia wa zamani wa masumbwi ya kulipwa, Iraq Hudu (49). Marehemu Hudu, maarufu kama ‘Kimbunga’, aliyefariki dunia Ijumaa mjini Dar es Salaam, amezikwa leo majira ya saa 10:00 alasiri katika makaburi ya Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Bondia huyo aliyewahi kutamba vilivyo katika ulingo wa masumbwi, alifariki alfajiri ya Ijumaa katika hospitali ya Hindu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2AStWy5W0kg/U5rKT7EtTZI/AAAAAAAFqUs/MBF-1NBIe4g/s72-c/Bondia+Mkongwe+Iraki+Hudu(mwenye+miwani)+na+Mwanae+Dani+Hudu.jpg)
Tanzia: Bondia wa zamani iraq hudu afariki dunia leo, kuzikwa kesho kisutu Dar es salaam
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Mamia wamzika Iraq Hudu
MAMIA ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake, wakiwemo wanamichezo, jana walijitokeza katika mazishi ya bondia wa zamani wa masumbwi ya kulipwa, Iraq Hudu (49). Hudu,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnlP4NYMdoLNIeklHUUUx6KB1lyJhbvRKBOn5Vq5NVEZSI7duAzJz8EILwRi4Ucln5iEWUtndADgIvmIbMBoB2JL/MAZISHI2.jpg?width=650)
MAMIA WAMZIKA MSANII BI. NYAKOMBA JIJINI DAR
10 years ago
MichuziMAMIA YAMUAGA MWANDISHI KAMUKARA JIJINI DAR ES SALAAM LEO.
Akizungumza juu ya kifo chake ,Mwenyekiti wa...
11 years ago
Michuzi03 Feb
MAMIA WAMZIKA MEJA MSTAAFU SAMWEL ISAAC CHEKINGO KWENYE MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR
![DSC_0140](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0140.jpg)
![DSC_0143](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0143.jpg)
![DSC_0047](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0047.jpg)
![DSC_0041](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0041.jpg)
![DSC_0069](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0069.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_01331.jpg)
MAMIA WAMZIKA MEJA MSTAAFU SAMWEL ISAAC CHEKINGO KWENYE MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eAwvFvJxicU/XnzS7dtYIpI/AAAAAAALlNs/FoUk9XQXi7MN6WYsBqq8_KedWrdYRQQPgCLcBGAsYHQ/s72-c/d6af6ff5-9761-4a3e-a38b-5f3b36bd93e0.jpg)
MAMIA YA WAOMBOLEZAJIÂ JIJINI DAR WAJITOKEZA KATIKA MAZISHI YA MWANDISHI MKONGWE WA HABARI ZA MICHEZO NCHINI ASHA MUHAJIÂ
MAMIA ya waombolezaji wakiwemo waandishi wa habari wa kada mbalimbali na wanamichezo wamejitokeza law wingi katika mazishi ya aliyekuwa Mwandishi wa habari nguli za michezo Asha Muhaji(50) ambaye amezikwa katika makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni jijini Dar es Salaam.
Katika mazishi ya marehemu Asha ,viongozi wa vitabu mbalimbali na wadau wa soka wameeleza kuwa kifo chake kimeacha pengo kubwa kubwa katika tasnia ya Michezo na sekta ya habari hasa za Michezo...
11 years ago
Michuzi28 Jul
MAMIA WAMUAGA ALIYEKUWA MHADHIRI MWANDAMIZI WA CHUO CHA UHASIBU DAR ES SALAAM(SASA TAASISI YA UHASIBU TANZANIA) JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://3.bp.blogspot.com/-3FvDjqPdnng/U9VIpXDi-NI/AAAAAAACzvw/xGx8-QGxyvs/s1600/image.jpeg)
9 years ago
Habarileo21 Oct
Mamia wamzika Makaidi Dar
MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa anayeungwa mkono na vyama vinne vya upinzani (Ukawa), ameongoza mamia na wananchi katika maziko ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha National League for Democracy (NLD), Dk Emmanuel Makaidi (74).