Mamia wamzika Makaidi Dar
MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa anayeungwa mkono na vyama vinne vya upinzani (Ukawa), ameongoza mamia na wananchi katika maziko ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha National League for Democracy (NLD), Dk Emmanuel Makaidi (74).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MAMIA WAMZIKA MSANII BI. NYAKOMBA JIJINI DAR
11 years ago
GPLMAMIA WAMZIKA MZEE SMALL MAKABURI YA SEGEREA, DAR
10 years ago
StarTV21 Oct
Lowassa aongoza mamia kuaga mwili wa Makaidi Dar.
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) anayeungwa Mkono na Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA , Edward Lowassa ameongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam kuuaga Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha NLD na Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA, Dkt Emmanuel Makaidi.
Marehemu Emmanuel Makaidi alifariki Dunia Octoba 15 katika Hospitali ya Nyagao iliyopo Mkoani Lindi alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa Shinikizo la Juu la Damu.
Katika...
10 years ago
GPLMAMIA WAMZIKA BABA MZAZI WA DULLY SYKES MAKABURI YA KISUTU, DAR
11 years ago
MichuziMamia wamzika bondia mkongwe Iraq Hudu jijini Dar es salaam leo
5 years ago
Michuzi
MAMIA YA WAOMBOLEZAJI WAMZIKA MAREHEMU IDD SIMBA MAKABURI YA MAGOMENI MWINYIMKUU DAR
MAMIA ya waombolezaji wakiwemo viongozi wa ngazi mbalimbali wa wastaafu katika Serikali zilizopita wamesheriki kwenye mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Baishara katika Serikali ya Awamu ya Tatu marehemu Iddi Simba.
Mzee Simba amezikwa leo Februari 14,2020 katika makaburi ya Magomeni Mwinyimkuu jijini Dar es Salaam ambapo wakati wa mazishi hayo , Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, Rais mstaafu Jakaya Kikwete, Makamu wa Rais mstaafu Mohamed Ghalib...
10 years ago
MichuziMAMIA WAAGA MWILI WA DK.EMMANUEL MAKAIDI VIWANJA VYA KARIMJEE DAR ES SALAAM LEO
11 years ago
Michuzi03 Feb
MAMIA WAMZIKA MEJA MSTAAFU SAMWEL ISAAC CHEKINGO KWENYE MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR





11 years ago
GPL
MAMIA WAMZIKA MEJA MSTAAFU SAMWEL ISAAC CHEKINGO KWENYE MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR