Lowassa aongoza mamia kuaga mwili wa Makaidi Dar.
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) anayeungwa Mkono na Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA , Edward Lowassa ameongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam kuuaga Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha NLD na Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA, Dkt Emmanuel Makaidi.
Marehemu Emmanuel Makaidi alifariki Dunia Octoba 15 katika Hospitali ya Nyagao iliyopo Mkoani Lindi alikokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa Shinikizo la Juu la Damu.
Katika...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboLOWASSA AONGOZA MAMIA KUUAGA MWILI WA DK.EMMANUEL MAKAIDI VIWANJA VYA KARIMJEE DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/T05zUkIf8Ug/default.jpg)
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI WA MAREHEMU GEORGE LIUNDI KARIMJEE JIJINI DAR
11 years ago
CloudsFM05 Jun
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-P8Ub5l48Whg/VhVFRvbTb2I/AAAAAAAAaj0/0I3vOAHvEW8/s72-c/IMG_2563.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI WA MTIKILA
![](http://3.bp.blogspot.com/-P8Ub5l48Whg/VhVFRvbTb2I/AAAAAAAAaj0/0I3vOAHvEW8/s640/IMG_2563.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QyXPPpxFFiE/VhVFWsaVNEI/AAAAAAAAaj8/iiDFNIX-irw/s640/IMG_2561.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hBRa7OaeLoI/VhVFZOxFBMI/AAAAAAAAakE/jrm_qE4l_9A/s640/IMG_2579.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tpnm0FlkkbU/VhVFaWREZiI/AAAAAAAAakM/GrE8bQ2mOdI/s640/IMG_2580.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bDh1VpkFFUo/VhVFbIISzDI/AAAAAAAAakQ/GTGXfw8iQCc/s640/IMG_2581.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0zzKRUF9y0k/VhVGG39N6tI/AAAAAAAAakc/GpxeLN1x1Po/s640/IMG_2570.jpg)
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-QbGe-CQwgxw/UzV08rhRcaI/AAAAAAAFW_I/TAIippwBq40/s1600/DSC_0123.jpg)
WAZIRI MKUU AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI WA MAREHEMU TUPPA
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
JK aongoza mamia kuaga mwili wa Capt. John Komba Karimjee leo
Kada wa CCM Mzee Kingunge Ngombale Mwiru akisalimiana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa wakati shughuli za kutoa heshima za mwisho msiba wa Captain John Komba katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam leo.
Rais mtsaafu wa awamu ya tatu, Mh. Benjamin William Mkapa akisalimiana na Mzee Kingunge alipowasili kwenye viwanja hivyo.
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mtungi (kulia) akiteta jambo na Mwenyekiti Mtendaji wa makapuni ya IPP, Dkt....
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS DK,GHARIB BILAL AONGOZA MAMIA, KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MUFTI ALHAJ SHEIKH SHAABAN ISSA BIN SIMBA