MAMIA WAMUAGA MWANDISHI WA HABARI WA NEW HABARI 2006 LTD, MAREHEMU INOCENT MUNYUKU
Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa Mwandishi wa Habari za Michezo wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd marehemu Inocent Munyuku wakati wa kuaga mwili katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa Mwandishi wa Habari za Michezo wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd marehemu Inocent Munyuku wakati wa kuaga mwili katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam leo.
Matinyi akisoma...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo13 Jan
Mamia wamuaga mwandishi wa HabariLeo
VILIO, majonzi na simanzi vilitawala jana katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kibangu, Dar es Salaam wakati mamia ya waombolezaji walipoaga mwili wa mwandishi wa Gazeti la HabariLeo, mkoani Manyara, Fortunatha Wilfred Ringo (29).
10 years ago
MichuziWENGI WAJITOKEZA MAZISHI YA MWANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO, MAREHEMU BARAKA KARASHANI LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eAwvFvJxicU/XnzS7dtYIpI/AAAAAAALlNs/FoUk9XQXi7MN6WYsBqq8_KedWrdYRQQPgCLcBGAsYHQ/s72-c/d6af6ff5-9761-4a3e-a38b-5f3b36bd93e0.jpg)
MAMIA YA WAOMBOLEZAJIÂ JIJINI DAR WAJITOKEZA KATIKA MAZISHI YA MWANDISHI MKONGWE WA HABARI ZA MICHEZO NCHINI ASHA MUHAJIÂ
MAMIA ya waombolezaji wakiwemo waandishi wa habari wa kada mbalimbali na wanamichezo wamejitokeza law wingi katika mazishi ya aliyekuwa Mwandishi wa habari nguli za michezo Asha Muhaji(50) ambaye amezikwa katika makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni jijini Dar es Salaam.
Katika mazishi ya marehemu Asha ,viongozi wa vitabu mbalimbali na wadau wa soka wameeleza kuwa kifo chake kimeacha pengo kubwa kubwa katika tasnia ya Michezo na sekta ya habari hasa za Michezo...
11 years ago
GPLMAMIA WAMUAGA MAREHEMU ADAM KUAMBIANA VIWANJA VYA LEADERS
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CuIGceNDp6Y/U8mWFH5V3hI/AAAAAAAAPjI/E5ChqTHl-28/s72-c/9.jpg)
BARAZA LA HABARI WAMUAGA BALOZI WA NORWAY
![](http://3.bp.blogspot.com/-CuIGceNDp6Y/U8mWFH5V3hI/AAAAAAAAPjI/E5ChqTHl-28/s1600/9.jpg)
(Picha kwa Hisani ya kamerayangublog.com) .
![](http://1.bp.blogspot.com/-GYtSXM5WFR4/U8mVOuNWwNI/AAAAAAAAPhw/5IeWkz0mBv4/s1600/14.jpg)
10 years ago
Mwananchi26 Jun
Mwandishi wa habari afariki
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Mwandishi wa habari auawa Somalia
10 years ago
BBCSwahili20 Aug