Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwandishi wa habari auawa Somalia

Mwandishi mmoja wa habari wa kike ameaga dunia baada ya bomu kulipuka chini ya gari lake katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa Habari auawa Syria

Mwandishi habari mwenye asili ya Marekani auawa nchini Syria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa habari auawa Pakistan

Watu wenye silaha wamemuua kwa kumpiga risasi mwandish maarufu wa habari katika mji wa Karachi.

 

10 years ago

Michuzi

MAMIA WAMUAGA MWANDISHI WA HABARI WA NEW HABARI 2006 LTD, MAREHEMU INOCENT MUNYUKU

Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa Mwandishi wa Habari za Michezo wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd marehemu Inocent Munyuku wakati wa kuaga mwili katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam leo. Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa Mwandishi wa Habari za Michezo wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd marehemu Inocent Munyuku wakati wa kuaga mwili katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam leo. Matinyi akisoma...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa AP auawa Afghanistan

Mwandishi wa Associated Press ameuawa kwa kupigwa risasi na afisa wa polisi mashariki mwa Afghanistan.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwandishi auawa Bangladesh

Mwandishi wa blogu asiyefungamana na masuala ya dini nchini Bangladesh ameuawa kwa kushambuliwa na watu wasiojulikana

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwandishi Ukraine auawa kwa risasi

Mwandishi mmoja maarufu nchini Ukraine ameuawa na watu wasiojulikana kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kuiunga mkono Urusi

 

10 years ago

BBCSwahili

Mbunge auawa Somalia

Watu waliojihami na silaha nchini Somalia wamemuua kwa kumpiga risasi mbunge mmoja na kumjeruhi vibaya mwingine kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki Mbunge auawa Somalia

Kundi la Alshabab limekiri kutekeleza Shambulizi ambalo Mbunge wa Somalia Saado Ali Warsame amepigwa risasi na kuawa .

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al Shabaab auawa Somalia

Kongozi mmoja wa kundi la Al Shabaab Abdirahman Sandhere ameuawa katika shambulizi la ndege ya Marekani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani