Mwandishi Ukraine auawa kwa risasi
Mwandishi mmoja maarufu nchini Ukraine ameuawa na watu wasiojulikana kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kuiunga mkono Urusi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Mfanyabiashara auawa kwa risasi
MFANYABIASHARA mkazi wa Kijiji cha Katuma wilayani Mpanda, Juma Luhanga (29) ameuawa kwa kupingwa risasi katika jicho lake la kushoto na watu wawili wanaosaidkiwa kuwa majambazi akiwa dukani kwake. Kaimu Kamanda wa Polisi...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Auawa kwa kupigwa risasi
MKAZI wa Kijiji cha Masuguru, Kata ya Masagala, wilayani Kishapu, Juma Masalu (25), ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kuingia katika mgodi wa Almasi unaomilikiwa na Wiliamson Diamond. Kaimu Kamanda...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ho7RWhwBiVf*H3ZekAtJMTVsfgexGIsZ5Q9Z0jZmOMgHT-Dn2kZUGi6LPqRI6bYTiyFCXmRBlo31S5NmyZvf0PuBhaMEj*zQ/dent.jpg?width=650)
DENTI AUAWA KWA RISASI
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Mwanafunzi UDSM auawa kwa risasi
Mwanafunzi wa UDSM, Mutaengerwa Mafwiri enzi za uhai wake.
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mutaengerwa Mafwiri ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi jana usiku eneo la Msewe jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na www.globalpublishers.co.tz kwa njia ya simu, Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Camillus Wambura amekiri kutokea kwa tukio hilo.
Kwa mujibu wa Kamanda Wambura tukio hilo lilitokea jana usiku majira ya saa mbili...
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Jan
Mfanyabiashara wa samaki auawa kwa risasi
Na Ahmed Makongo, Bunda
MFANYABIASHARA wa samaki ameuawa kwa kupigwa risasi na mwingine kujeruhiwa kwa risasi katika matukio mawili tofauti, yaliyotokea wilayani Bunda mkoani Mara.
Kamanda wa Polisi mkoani Mara, Philpo Kalangi, alithibitisha jana kutokea kwa matukio hayo alipozungumza na Uhuru kwa njia ya simu.
Alisema tukio la kwanza lilitokea juzi saa 3:00 usiku, katika eneo la Nyasura mjini hapa.
Alisema mfanyabiashara huyo, Mkome Marwa (39), akiwa na mke wake, wakati wakirejea...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9ncbHh9lZe3p*hHhTFT9qUGiHTSrz1kLYDg8srr6HX3qTzoYEtYSxrDRSr58Epkhl2iPTehITSVoPRqnQ7L6fm7/BACKUWAZI.jpg)
MFANYABIASHARA AUAWA KWA RISASI GETINI
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Mchezaji auawa kwa risasi El Salvador
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yC7AOXGJlPWbjh-EJaCP*l9AOvQ0G2eAi0F-lhFQY4Fkw7jfWgWAI0vjd6uXqI4ephqdGWKPRoVn0Ef8JvcCKXUKM*MG1TRU/MEYA.jpg)
MEYA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI NA MKEWE
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Askari FFU Z’bar auawa kwa risasi