Mbunge auawa Somalia
Watu waliojihami na silaha nchini Somalia wamemuua kwa kumpiga risasi mbunge mmoja na kumjeruhi vibaya mwingine kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Mbunge mwingine auawa Somalia
Mbunge mwingine ameuawa kwa kupigwa risasi mjini Mogadishu, Somalia akiwa ni mbunge wa pili kuuawa mjini humo katika muda wa masaa 24.
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
Mwanamuziki Mbunge auawa Somalia
Kundi la Alshabab limekiri kutekeleza Shambulizi ambalo Mbunge wa Somalia Saado Ali Warsame amepigwa risasi na kuawa .
11 years ago
Bongo523 Jul
Mwanamuziki na mbunge wa Somalia Saado Ali auawa
Mwanamuziki maarufu ambaye pia ni mbunge nchini Somalia, Saado Ali Warsame amepigwa risasi na kufa na wanamgambo. Aliuawa pamoja na mlinzi wake, katika shambulio la kutumia gari mjini Mogadishu. Msemaji wa kundi la al-Shabaab, Abdulaziz Abu Musab ameiambia BBC kuwa ameshambuliwa kutokana na sababu za kisiasa na sio muziki wake. Mwandishi wa BBC mjini Mogadishu […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXR*1R*5SoNO0yzVbQFaS9xSnfhFmki9uSiA1yW8TAUq9z1Is5NtvQlvILUQj4qkLgD8y5k*3L2iosVW43BG4scd/GaariXildhibaanoLaXabadeedey.jpg)
MBUNGE WA SOMALIA, YUSUF DIRIR AUAWA KATIKA SHAMBULIO MOGADISHU
Gari alilokuwemo Yusuf Dirir. MBUNGE wa Somalia, Yusuf Dirir ameuawa kwa kupigwa risasi katika Mji wa Mogadishu jana.
Wanausalama wameeleza kuwa Yusuf Dirir aliuawa baada ya gari lake kushambuliwa na wanamgambo wanaodhaniwa kuwa wa Kundi la Al Shabaab. Wapiganaji wa Al Shabaab. Wafanyakazi wengine watatu wa Wizara ya Usafirishaji nao pia waliuawa katika shambulio lingine lililotokea jana.
Takribani wabunge watano waliuawa na...
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Jasusi wa Al Shabaab auawa Somalia
Wakaazi wa Kusini mwa Somalia, wameambia BBC kuwa kamanda wa Al Shabaab ambaye pia ni jasusi mkuu wa kundi hilo ameuawa na majeshi ya Marekani
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Kiongozi wa Al shabab auawa Somalia
Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema imethibitisha kuwa shambulio la ndege la wiki iliyopita nchini Somalia dhidi ya Al Shabab.
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Mwandishi wa habari auawa Somalia
Mwandishi mmoja wa habari wa kike ameaga dunia baada ya bomu kulipuka chini ya gari lake katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu.
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Kiongozi wa Al Shabaab auawa Somalia
Kongozi mmoja wa kundi la Al Shabaab Abdirahman Sandhere ameuawa katika shambulizi la ndege ya Marekani.
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Mpwa wa rais wa Somalia auawa Mogadishu
Mpwa wa rais wa Somali Hassan Sheikh Mohamud ameuawa katika mji mkuu wa Mogadishu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania