Mpwa wa rais wa Somalia auawa Mogadishu
Mpwa wa rais wa Somali Hassan Sheikh Mohamud ameuawa katika mji mkuu wa Mogadishu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXR*1R*5SoNO0yzVbQFaS9xSnfhFmki9uSiA1yW8TAUq9z1Is5NtvQlvILUQj4qkLgD8y5k*3L2iosVW43BG4scd/GaariXildhibaanoLaXabadeedey.jpg)
MBUNGE WA SOMALIA, YUSUF DIRIR AUAWA KATIKA SHAMBULIO MOGADISHU
Gari alilokuwemo Yusuf Dirir. MBUNGE wa Somalia, Yusuf Dirir ameuawa kwa kupigwa risasi katika Mji wa Mogadishu jana.
Wanausalama wameeleza kuwa Yusuf Dirir aliuawa baada ya gari lake kushambuliwa na wanamgambo wanaodhaniwa kuwa wa Kundi la Al Shabaab. Wapiganaji wa Al Shabaab. Wafanyakazi wengine watatu wa Wizara ya Usafirishaji nao pia waliuawa katika shambulio lingine lililotokea jana.
Takribani wabunge watano waliuawa na...
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/A1DF/production/_84493414_breaking_image_large-3.png)
Somalia blast at Mogadishu hotel
A bomb explodes in Somalia at ahotel in Mogadishu used by diplomats and government officials, killing at least four, witnesses say.
11 years ago
BBCSwahili21 Apr
Mbunge auawa na Al Shabaab Mogadishu
Mbunge mmoja ameuawa na mwingine kujeruhiwa katika shambulizi la bomu mjini Mogadishu ambalo kundi la Al Shabaab limekiri kufanya.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1Y*ZL3cxWNNeTAO70hI-4e3d4gTcgMbzjMScYzLvaAhS4MtZ7ZyMyG7CjxMkwDX6vp33W*NYBj4MgD3ZyeLuboZ/somalia_hotel_attack.jpg?width=650)
SOMALIA: AL SHABAAB YASHAMBULIA NA KUUA WATU 9 MOGADISHU
Maofisa wa Polisi nchini Somalia wakiingia ndani ya jengo lililovamiwa na Al Shabaab ili kukabiliana nao. Watu 9 wameripotiwa kuuawa katika jengo ya Wizara ya Elimu mjini Mogadishu, Somalia. Vyombo vya habari mjini Mogadishu vimeripoti kuwa wavamizi hao walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo la waizara ya elimu nchini humo. Kabla ya wavamizi kadhaa kuingia ndani ya jengo walianza kwa  kupiga risasi za...
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Mary Trump: Kumbukumbu ya mpwa wa rais Donald Trump inayomdhalilisha rais huyo
Mary Trump anatarajiwa kutoa kitabu kinachomuelezea mjomba wake Donald Trump kama mwanaume hatari sana duniani.
10 years ago
BBCSwahili24 May
Mbunge auawa Somalia
Watu waliojihami na silaha nchini Somalia wamemuua kwa kumpiga risasi mbunge mmoja na kumjeruhi vibaya mwingine kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishi.
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
Mwanamuziki Mbunge auawa Somalia
Kundi la Alshabab limekiri kutekeleza Shambulizi ambalo Mbunge wa Somalia Saado Ali Warsame amepigwa risasi na kuawa .
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Kiongozi wa Al Shabaab auawa Somalia
Kongozi mmoja wa kundi la Al Shabaab Abdirahman Sandhere ameuawa katika shambulizi la ndege ya Marekani.
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Jasusi wa Al Shabaab auawa Somalia
Wakaazi wa Kusini mwa Somalia, wameambia BBC kuwa kamanda wa Al Shabaab ambaye pia ni jasusi mkuu wa kundi hilo ameuawa na majeshi ya Marekani
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania