MBUNGE WA SOMALIA, YUSUF DIRIR AUAWA KATIKA SHAMBULIO MOGADISHU
![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXR*1R*5SoNO0yzVbQFaS9xSnfhFmki9uSiA1yW8TAUq9z1Is5NtvQlvILUQj4qkLgD8y5k*3L2iosVW43BG4scd/GaariXildhibaanoLaXabadeedey.jpg)
Gari alilokuwemo Yusuf Dirir. MBUNGE wa Somalia, Yusuf Dirir ameuawa kwa kupigwa risasi katika Mji wa Mogadishu jana. Wanausalama wameeleza kuwa Yusuf Dirir aliuawa baada ya gari lake kushambuliwa na wanamgambo wanaodhaniwa kuwa wa Kundi la Al Shabaab. Wapiganaji wa Al Shabaab. Wafanyakazi wengine watatu wa Wizara ya Usafirishaji nao pia waliuawa katika shambulio lingine lililotokea jana. Takribani wabunge watano waliuawa na...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Ugaidi Somalia: Kamanda wa Al-Shabab Bashir Mohamed Qorgab 'auawa katika shambulio la angani '
9 years ago
BBCSwahili07 Oct
Mpwa wa rais wa Somalia auawa Mogadishu
11 years ago
BBCSwahili21 Apr
Mbunge auawa na Al Shabaab Mogadishu
10 years ago
BBCSwahili24 May
Mbunge auawa Somalia
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Mbunge mwingine auawa Somalia
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
Mwanamuziki Mbunge auawa Somalia
11 years ago
Bongo523 Jul
Mwanamuziki na mbunge wa Somalia Saado Ali auawa
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Suleiman Yusuf Koore: Bawabu aliyefanikiwa kuwa waziri katika ofisi aliyolinda Somalia
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Watu kadha wauawa shambulio Mogadishu