Hillary Shoo wa Jambo Leo Singida, anyakua cheti maalumu kwa uandishi bora wa habari za Usalama Barabarani mkoa wa Singida
Mwandishi wa habari wa Gazeti la Jamboleo Mkoa wa Singida, Hillary Shoo,akipokea cheti maalumu kutoka kwa Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Singida, Aziza Mumba ikiwa ni mchango wake mkubwa katika kuandika habari za kuelimisha jamii juu ya wiki ya nenda kwa usalama barabara Mkoa wa Singida, halfa hiyo ilifanyika jana kwenye viwanja vya kituo cha mabasi yaendeyo mikoani, kulia ni Kamanda wa polisi Mkoani humo Thobias Sedoyeka.( PICHA NA MPIGA HISANI YA MO BLOG).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Wanachama wa SINGPRESS Mkoani Singida wanolewa juu ya uandishi bora wa makala
Mkufunzi wa mafunzo ya uandishi bora wa makala, Charles Kayoka,(wa kwanza kulia),akitoa ufafanuzi juu wa namna nzuri ya kuandika makala kwa wananchama wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida. Mafunzo hayo ya siku nne,yameandaliwa na kufadhiliwa na Umoja wa vilabu vya waandishi wa habari Tanzania (UTPC).
Baadhi ya wananchama wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida,wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa na mkufunzi Charles Kayoka, juu ya uandishi bora...
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Mlata ashiriki zoezi la usafi Manispaa ya Singida
![IMG_1124](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1124.jpg)
![IMG_1132](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1132.jpg)
![IMG_1142](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_1142.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JObX3Y4BG3g/VCAoyBvqZuI/AAAAAAAGlAk/3xhLNzMFWow/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MKUU WA MKOA ARUSHA AZINDUA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI, KITAIFA JIJINI ARUSHA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JObX3Y4BG3g/VCAoyBvqZuI/AAAAAAAGlAk/3xhLNzMFWow/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xSjfbwbfM14/VCAoxytleGI/AAAAAAAGlAg/VmyBabMETYA/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 May
Mbunge wa viti maalumu (CCM) mkoa wa Singida, Bi Martha Mlata achangia ujenzi wa vyoo vya shule ya Kilimani
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata (aliyesimama kwenye jukwaa) akiwaongea na wananchi wa Kijiji cha Ibaga,tarafa ya Kirumi ,Mkoani Singida wakati wa ziara yake ya siku moja wilayani hapa yenye lengo la kukiimarisha chama.
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata(wa pili kutoka kushoto) akikabidhi vifaa vya michezo kwa timu za soka za kata ya Ibaga.
Katibu wa CCM wilaya ya Mkalama,Bwana Amosi Shimba (wa pili kutoka kushoto)...
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
Magufuli aendelea na kampeni zake mkoani Singida, leo kuunguruma Singida mjini LIVE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bW-elVYgVpA/Vg6lzCwZyII/AAAAAAADAEU/FFs4pbo6bXY/s640/_MG_1885.jpg)
PICHA NA MICHUZI JR-SINGIDA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-pD7irjHsSLg/Vg6lzrRxEKI/AAAAAAADAEY/Ssa9uPgDiF8/s640/_MG_1892.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1N-cfVihJnE/Vg6lyvlh1fI/AAAAAAADAEI/BspUOj2-x_c/s640/_MG_1869.jpg)
11 years ago
Dewji Blog27 May
Kinana amaliza ziara yake Mkoani Singida kwa kuzuru Singida Vijijini
Mbunge wa Singida Mashariki Lazaro Nyalandu akimlaki Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakati wa mapokezi ya kiongozi huyo wa Chama, katika kata ya Msisi, Singida Vijijini, jana Mei 26, 2014.
Wanachama wa Jumuia ya Wazazi Kata ya Msisi wakimvalisha mgolole Kianana kabla ya kufungua tawi la Wazazi la Kata hiyo.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizindua tawi la Jumuia ya Wazazi Kata ya Msisi, wilaya ya Singiga Vijijini.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akishiriki kuvuna...
9 years ago
MichuziMAADHIMISHO WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI YAFANYIKA MKOA WA KIPOLISI TEMEKE
10 years ago
MichuziWaandishi wa habari wapigwa msasa kuhusu namna bora ya kuimarisha uandishi wa habari za shughuli za Bunge
5 years ago
CCM BlogSINGIDA YAADHIMISHA MIAKA 43 YA CCM KWA KISHINDO, YATOA MSIMAMO ENEO LINASTAHILI KUJENGWA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA SINGIDA VIJIJINI
Na Godwin Myovela, Singida
Baada ya mvutano mkubwa ambao umekuwepo baina ya madiwani, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na viongozi wa Serikali kuhusu...