Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanachama wa SINGPRESS Mkoani Singida wanolewa juu ya uandishi bora wa makala

IMG_6738

Mkufunzi wa mafunzo ya uandishi bora wa makala, Charles Kayoka,(wa kwanza kulia),akitoa ufafanuzi juu wa namna nzuri ya kuandika makala kwa wananchama wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida. Mafunzo hayo ya siku nne,yameandaliwa na kufadhiliwa na Umoja wa vilabu vya waandishi wa habari Tanzania (UTPC).

IMG_6742

Baadhi ya wananchama wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida,wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa na mkufunzi Charles Kayoka, juu ya uandishi bora...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Ranko Banadi Mwenyekiti mpya wa Singpress mkoani Singida

DSC00548

Mwenyekiti mpya wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida, Ranko Banadi, akiwashukuru wapiga kura na wanachama kwa ujumla waliompata kura za kutosha kwenye uchaguzi uliofanyika na kuweza kushinda nafasi hiyo.Wa kwanza kushoto ni Katibu mtendaji Emmanuel Michael.Wa kwanza kulia ni mweka hazina Doris Meghji anayefuatia ni Makamu mwenyekiti, Shaban Msangi.

DSC00536

Mmoja wa wanachama wa Singpress Leonard Manga, akipiga kura ya siri kuchangua kiongozi anayempenda miongoni mwa waombaji...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hillary Shoo wa Jambo Leo Singida, anyakua cheti maalumu kwa uandishi bora wa habari za Usalama Barabarani mkoa wa Singida

SHOO..1

Mwandishi wa habari wa Gazeti la Jamboleo Mkoa wa Singida, Hillary Shoo,akipokea cheti maalumu kutoka kwa Katibu Tawala Msaidizi wa Mkoa wa Singida, Aziza Mumba ikiwa ni mchango wake mkubwa katika kuandika habari za kuelimisha jamii juu ya wiki ya nenda kwa usalama barabara Mkoa wa Singida, halfa hiyo ilifanyika jana kwenye viwanja vya kituo cha mabasi yaendeyo mikoani, kulia ni Kamanda wa polisi Mkoani humo Thobias Sedoyeka.( PICHA NA MPIGA HISANI YA MO BLOG).

 

11 years ago

Michuzi

Wanahabari Lindi wanolewa kuhusiana na Uandishi wa Ukatili wa Kijinsia

Na Abdulaziz Video,Mnazi Mmoja ,Lindi.
Sekta ya Habari Imetakiwa kutoa elimu zaidi ya ukatili wa Kijinsia ili kujenga Taifa lenye amani kwa wananchi Bila kujali Jinsia ,Dini na kabila.
Wito huo umetolewa na Dr Monica Mhoja , Naibu Mkurugenzi wa mradi wa Champion unaofadhiliwa na Usaid alipokuwa akitoa mada katika warsha ya wanahabari wa Mkoa wa Lindi inayoendelea katika Ukumbi wa Sakina Mnazi mmoja Manispaa ya Lindi.
Dr Mhoja amebainisha kuwa sekta ya habari ina wajinu mkubwa kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Waandishi wa habari nyanda za juu kusini wanolewa juu ya habari za uchaguzi

Washiriki wakifuatilia mafunzo hayo Mwanahabari Gordon Kalulunga akichangia mada Mwanahabari Michael Katona akiwasilisha kazi waliyopewa kwa niaba ya kundi lake Mafunzo kwa vitendo yakiendeleaWaandishi wa habari wa kanda ya nyanda za juu Kusini wamepatiwa mafunzo ya nanma ya kuandika na kutangaza habari za uchaguzi ili waweze kutumia taaluma yao iifikie jamii
Semina hiyo inaendeshwa kwa pamoja na shirika la utangazaji la Uingereza BBC na baraza la habari Tanzania MTC.(Picha na Edwin Moshi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Polisi Singida waichapa timu ya wandishi wa habari Singpress 3-2

DSC04943

Timu waandishi wa habari mkoa wa Singida iliyopambana na timu ya polisi katika mechi kali na ya kusisimua ya bonanza iliyofanyika uwanja wa Namfua.

Na Nathaniel Limu, Singida

TIMU ya soka ya jeshi la polisi mkoani Singida,imeichapa timu ya klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida goli 3-2 kwenye mchezo wa bonanza iliyoandaliwa na kufadhiliwa na kampuni ya simu Vodacom Tanzania tawi la Singida.

Mechi hiyo kali na ya kusisimua,imefanyika kwenye uwanja wa michezo wa Namfua...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wanahabari Mkoa wa Singida (Singpress) wahimizwa kujiunga na mfuko wa afya wa NHIF!

IMG_0623

Kaimu meneja wa NHIF mkoa wa Singida,Adamu Salum,akiongea na waandishi wa habari kwenye banda la mfuko huo lililopo viwanja vya peoples klabu kwenye maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambayo yalikuwa yafanyike mkoani hapa kitaifa.Imedaiwa maadhimisho hayo yalifutwa na orais John Pombe Magufuli.Picha zote na Nathaniel Limu. Na Nathaniel Limu [SINGIDA] Wanachama wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida, wamehimizwa kujiunga na mfuko wa Taifa wa bima ya afya (NHIF),...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbinu bora za Uandishi

Katika makala yaliyopita nieleza juu ya matumizi sahihi ya maneno katika uandishi. Nilisisitiza kuwa waandishi  hawana budi kuwa makini wanapoandika kwa kuchagua maneno yaliyo sahihi na sanifu. Sasa nitaendelea kama ifuatavyo: 

 

10 years ago

Mwananchi

Mbinu za Uandishi Bora

Kwa kuwa waandishi wengi wamesoma katika vyuo mbalimbali vya uandishi wa habari, imeonekana  kuwa kuna haja ya kuwa na mwongozo wa uandishi bora na aina za mitindo inayotumika na kukubalika. Mwongozo huu umejikita katika matumizi fasaha na sanifu ya lugha ya Kiswahili ambayo ndiyo msingi katika uandishi wa habari. Ifahamike kuwa kila  kampuni  ya uchapishaji wa magazeti au vitabu na kampuni za televisheni na redio huwa na mtindo wao wa kuandika au kutangaza habari ambao ni tofauti...

 

10 years ago

Mwananchi

Uandishi Bora wa Kiswahili

MAKOSA yanayojitokeza katika magazeti  mengi ya Kiswahili ni kutokana na waandishi kutokuwa makini na wengine kutokuwa na ujuzi wa kutosha katika sarufi na fasihi Ya Kiswahili. Ninaposema waandishi nina maana ya kuwahusisha  wataalamu wengine wa uandishi wa habari kama vile wahariri, wahakiki kurasa na wadhibiti maandishi. Hawa wote ni muhimu katika uandishi bora. Hebu soma sentensi zifuatazo: “Jukwaa la Wanarukwa lina dhumuni la kuhamasisha watu kuchangia sekta za kilimo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani