Wanahabari Lindi wanolewa kuhusiana na Uandishi wa Ukatili wa Kijinsia
![](http://1.bp.blogspot.com/-e0S1BtREpIs/Uv-TtpPiWBI/AAAAAAAFNYM/S5b7_1veTxo/s72-c/unnamed+(17).jpg)
Na Abdulaziz Video,Mnazi Mmoja ,Lindi.
Sekta ya Habari Imetakiwa kutoa elimu zaidi ya ukatili wa Kijinsia ili kujenga Taifa lenye amani kwa wananchi Bila kujali Jinsia ,Dini na kabila.
Wito huo umetolewa na Dr Monica Mhoja , Naibu Mkurugenzi wa mradi wa Champion unaofadhiliwa na Usaid alipokuwa akitoa mada katika warsha ya wanahabari wa Mkoa wa Lindi inayoendelea katika Ukumbi wa Sakina Mnazi mmoja Manispaa ya Lindi.
Dr Mhoja amebainisha kuwa sekta ya habari ina wajinu mkubwa kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/02/IMG_5808.jpg)
TAMWA YAWAPONGEZA WANAHABARI UANDISHI HABARI ZA UKATILI WA KIJINSIA
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Wanachama wa SINGPRESS Mkoani Singida wanolewa juu ya uandishi bora wa makala
Mkufunzi wa mafunzo ya uandishi bora wa makala, Charles Kayoka,(wa kwanza kulia),akitoa ufafanuzi juu wa namna nzuri ya kuandika makala kwa wananchama wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida. Mafunzo hayo ya siku nne,yameandaliwa na kufadhiliwa na Umoja wa vilabu vya waandishi wa habari Tanzania (UTPC).
Baadhi ya wananchama wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida,wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa na mkufunzi Charles Kayoka, juu ya uandishi bora...
10 years ago
Mwananchi26 Jul
Wanahabari wanolewa habari za uchaguzi
11 years ago
MichuziNHIF NA CHF LINDI ZATOA ELIMU KWA WANAHABARI NA WARATIBU WA MIFUKO HIYO MKOA WA LINDI
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Ukatili wa kijinsia ukomeshwe
MASHIRIKA matano yanayojishughulisha na utetezi wa haki za kijinsia kupitia mradi wao wa GEWE II, ambao ni mpango wa kutokomeza ukatili na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto...
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Mwanamke anayepambana na ukatili wa kijinsia
11 years ago
Habarileo20 Feb
Ukatili wa kijinsia wachochea Ukimwi
IMEELEZWA kuwa ukatili wa kijinsia ni mojawapo ya njia kuu inayoeneza Ukimwi na ongezeko lolote la vitendo hivyo linachochea pia ongezeko la maambukizo. Kauli hiyo imetolewa na Meneja mradi wa kupambana na ukatili wa kijinsia ili kupunguza maambukizi ya virusi vya Ukimwi, Muhammad Hassan kutoka Shirika la WOWAP.
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Ukatili wa kijinsia jeshini ukomeshwe