SINGIDA YAADHIMISHA MIAKA 43 YA CCM KWA KISHINDO, YATOA MSIMAMO ENEO LINASTAHILI KUJENGWA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA SINGIDA VIJIJINI
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Alhaji Juma Kilimba, akizungumza kwenye sherehe za maadhimisho ya miaka 43 ya chama hicho yaliyofanyika kimkoa Wilaya ya Singida Vijijini hivi karibuni. Wengine ni viongozi mbalimbali wa chama hicho na Serilikali na Wabunge. KWA PICHA ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 43 YA CCM >> BOFYA HAPA
Na Godwin Myovela, Singida
Baada ya mvutano mkubwa ambao umekuwepo baina ya madiwani, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na viongozi wa Serikali kuhusu...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog27 May
Kinana amaliza ziara yake Mkoani Singida kwa kuzuru Singida Vijijini
Mbunge wa Singida Mashariki Lazaro Nyalandu akimlaki Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakati wa mapokezi ya kiongozi huyo wa Chama, katika kata ya Msisi, Singida Vijijini, jana Mei 26, 2014.
Wanachama wa Jumuia ya Wazazi Kata ya Msisi wakimvalisha mgolole Kianana kabla ya kufungua tawi la Wazazi la Kata hiyo.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizindua tawi la Jumuia ya Wazazi Kata ya Msisi, wilaya ya Singiga Vijijini.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akishiriki kuvuna...
10 years ago
Dewji Blog19 Jun
Halmashauri ya wilaya ya Singida yatoa chanjo ya Vitamin “A” kwa watoto 39,166
Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari za tarafa ya Mtinko wakiwa kwenye na mabango yenye ujumbe wa maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika iliyofanyika kiwilaya kata ya Ughandi, Singida vijijini.
Vikundi vya ngoma vilivyokuwa vikitumbuiza kwenye sherehe za siku ya mtoto wa Afrika.
Kikundi cha kwaya kilichokuwa kikitoa burudani ya nyimbo mbali mbali zilizokuwa na ujumbe unaoashiria kupiga vita mimba na ndoa za utotoni.
Wanafunzi wa shule mbali mbali za msingi na sekondari...
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
MO azindua kwa kishindo kampeni za CCM Singida
Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mhe. Mohammed Gulam Dewji akisalimiana na wapiga kura kura wake na wananchi wa jimbo la Singida mjini mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Kibaoni tayari kuzindua kampeni za CCM uchaguzi wa serikali za mitaa katika jimbo la Singida Mjini.(Picha na Geofrey Mwakibete wa MOblog).
Mbunge wa Singida MO Dewji akipata mapokezi kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni zilizofanyika Kibaoni mjini Singida.
Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mhe. Mohammed Dewji...
9 years ago
Vijimambo27 Sep
MWIGULU NCHEMBA AENDELEA KUCHANJA MBUGA,AMALIZA KAZI MKOA WA SINGIDA KUHAKIKISHA CCM INASHINDA KWA KISHINDO
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/11224522_429977853871115_7948411750491525655_n.jpg?oh=dbba4a3b490e5ba1808cc2b51bd53130&oe=56A08E4F)
![](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12027503_429978013871099_4476088822768348041_n.jpg?oh=553771f7f9f0651088bb66c5fee7e5b6&oe=56A1DE19)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IS1XUqCK-3Y/XrLNZ09gduI/AAAAAAALpTM/M560JOPnf5YmnyVo-x7wrC_504oN4WoKwCLcBGAsYHQ/s72-c/group12.png)
Sanamu la Mwalimu Nyerere kujengwa Makao Makuu ya AU,Addis Ababa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-IS1XUqCK-3Y/XrLNZ09gduI/AAAAAAALpTM/M560JOPnf5YmnyVo-x7wrC_504oN4WoKwCLcBGAsYHQ/s400/group12.png)
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inaratibu ujenzi wa Sanamu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika viwanja vya jengo la Amani na Ulinzi la Julius Nyerere lililopo katika Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU) Jijini Addis Ababa, Ethiopia.
Akizungumza wakati wa uwasilishaji wa Hotuba ya Makadirio ya Bajeti kwa mwaka 2020/2021 Bungeni Jijini Dodoma, Waziri wa Habari,...
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
CCM Singida yazoa viti vyote vya Halmashauri ya Ikungi na Mkalama
Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku, akitoa tamko la kukanusha mbele ya waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) taarifa zinazoenezwa kwamba CCM mkoa ilikata jina la mgombea nafasi ya Mwenyekiti halmashauri ya wilaya ya Mkalama, kutokana na ulemavu wake wa miguu. Kulia ni Katibu msaidizi CCM mkoa wa Singida, Adamu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Singida, kimekanusha vikali uzushi unaoenezwa kwamba kilikata jina la mgombea nafasi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yZWxkg0Zv4M/U4HxfbDO28I/AAAAAAACiF0/e7HsDjqDb9k/s72-c/16.jpg)
KINANA AHITIMISHA MKUTANO WAKE WA HADHARA KWA KISHINDO MJINI SINGIDA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-yZWxkg0Zv4M/U4HxfbDO28I/AAAAAAACiF0/e7HsDjqDb9k/s1600/16.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mId2K-MMk4s/U4HxQ6Z8ZLI/AAAAAAACiFE/Ath5ewU01ro/s1600/10.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eGO1fN_Dwmw/U4HxzXpy9xI/AAAAAAACiGk/2v4dsY_DDMI/s1600/8.jpg)
5 years ago
CCM Blog04 Apr
UHAKIKI WA VYAMA VYA SIASA WAHITIMISHWA KWA KUIHAKIKI CCM, MAKAO MAKUU DODOMA
![](http://blog.maelezo.go.tz/wp-content/uploads/2020/04/CCM1b.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akielezea jambo mbele ya ugeni kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa (ORPP) walipomtembelea ofisini kwake wakati wa zoezi la uhakiki wa uhai wa vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu katika Ofisi ya Makao Mkuu ya Chama hicho jijini Dodoma leo. Kutoka kushoto ni Katibu wa NEC – Oganaizesheni wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Pereira Ami Silima, Mkuu wa Kitengo cha Usajili wa Vyama vya Siasa, Muhidin Mapeyo na Msajili...