UHAKIKI WA VYAMA VYA SIASA WAHITIMISHWA KWA KUIHAKIKI CCM, MAKAO MAKUU DODOMA
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akielezea jambo mbele ya ugeni kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa (ORPP) walipomtembelea ofisini kwake wakati wa zoezi la uhakiki wa uhai wa vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu katika Ofisi ya Makao Mkuu ya Chama hicho jijini Dodoma leo. Kutoka kushoto ni Katibu wa NEC – Oganaizesheni wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Pereira Ami Silima, Mkuu wa Kitengo cha Usajili wa Vyama vya Siasa, Muhidin Mapeyo na Msajili...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LGNPowyI8OU/Xoc6fiIkWQI/AAAAAAALl8c/jJLrYaWGQEYdOHgEFeng5V6pxPdylrIvgCLcBGAsYHQ/s72-c/CCM1a.jpg)
ZOEZI LA UHAKIKI VYAMA VYA SIASA LAKAMILIKA KWA KUHAKIKI CHAMA CHA MAPINDUZI MAKAO MAKUU DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LGNPowyI8OU/Xoc6fiIkWQI/AAAAAAALl8c/jJLrYaWGQEYdOHgEFeng5V6pxPdylrIvgCLcBGAsYHQ/s640/CCM1a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/CCM1b.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akielezea jambo mbele ya ugeni kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa (ORPP) walipomtembelea ofisini kwake ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jjCncTnXX8I/Xp2nnn-zvTI/AAAAAAALnk0/BQBg94azfSMw1hOGnBfyotODZzEd-fQogCLcBGAsYHQ/s72-c/S1.jpg)
VYAMA VYA SIASA VYATAKIWA KUWA NA OFISI NDOGO ZA MAKAO MAKUU JIJINI DODOMA
Na: Mwandishi Wetu - ORPP
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini ametoa wito kwa vyama vya siasa kufungua ofisi za makao makuu Jijini Dodoma kwa kuwa ndiyo makao makuu ya serikali.
Wito huo umetolea na Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, alipotembelea ofisi ndogo za makao makuu ya Chama cha Wakulima (AAFP) jijini Dodoma hivi karibuni.
Nyahoza alisema kuwa Vyama vyote vya Siasa vinatakiwa kuwa na ofisi za makao makuu jijini Dodoma kwa kuwa ndiko shughuli zote za serikali...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8mSeXXGeGhw/XnEbP2vQpOI/AAAAAAALkLs/cIVV2yqEsLYlllRm5B2w5jq9K8VwBO09QCLcBGAsYHQ/s72-c/U0.jpg)
Zoezi la Uhakiki Vyama vya Siasa Laanza kwa Mafanikio
![](https://1.bp.blogspot.com/-8mSeXXGeGhw/XnEbP2vQpOI/AAAAAAALkLs/cIVV2yqEsLYlllRm5B2w5jq9K8VwBO09QCLcBGAsYHQ/s640/U0.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/U1a.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cANHcLrwK_4/Xme4gTIUSyI/AAAAAAACIew/OclqUXp5y8MgZHVASiApeSppeg8HT3eZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200310_183837_760.jpg)
UHAKIKI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI KUANZA MACHI 17 MWAKA HUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-cANHcLrwK_4/Xme4gTIUSyI/AAAAAAACIew/OclqUXp5y8MgZHVASiApeSppeg8HT3eZQCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200310_183837_760.jpg)
Na Mwandishi Maalum
MSAJILI wa Vyama vya Siasa Nchini, Jaji Mstaafu Francis Mutungi amesema zoezi la uhakiki wa vyama vya siasa linalotarajia kuanza Machi 17, mwaka huu, halina malengo ya kufuta usajili wa vyama...
5 years ago
MichuziUHAKIKI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI KUANZA MACHI 17,2020,MSAJILI ASEMA HAKUNA CHAMA KITAKACHOFUTWA
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini (RPP), Mhe .Jaji Mstaafu, Francis Mutungi akifafanua jambo wakati wa Mkutano wake na Viongozi Wakuu wa Vyama vya Siasa kuhusu zoezi la Uhakiki wa Vyama vya Siasa nchini. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini (ORPP) inatarajia kufanya zoezi la uhakiki wa Vyama vya Siasa nchini kuanzia tarehe 17 Machi, 2020 kwa lengo la kuimarisha uhai wa vyama hivyo.Pichani juu kulia ni Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa Nchini, Sisty Nyahoza na kushoto ni Naibu...
10 years ago
Dewji Blog19 May
Rais Nyusi atembelea makao makuu ya CCM mjini Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-7jbhDfn8owU/VVsujxlBJQI/AAAAAAAAb60/kSnraMBvrdU/s640/8.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais wa Msumbiji Mhe.Filipe Jacinto Nyusi kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Dodoma.
![](http://4.bp.blogspot.com/-hNFaFmxTV_I/VVsuggMd1vI/AAAAAAAAb6k/qP0CMrNjNbk/s640/10.jpg)
Rais wa Msumbiji Mhe.Filipe Jacinto Nyusi akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana mara baada ya kuwasili kwenye Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZpLt0JD2SfY/VVsuij09KpI/AAAAAAAAb6s/GwhDJu7CSmU/s640/11.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGa0Y6kLfZla91oqfmkX7w6XfoZdF-i6o-K1i5EBO8j9GeqCxhzlIQnp3-EF77F3P4P-9rBrLEwU3ArjG3ZGt48n/1.jpg?width=650)
10 years ago
MichuziWAANDISHI WA HABARI WAPIGA KAMBI NDANI YA CCM MAKAO MAKUU, DODOMA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7jbhDfn8owU/VVsujxlBJQI/AAAAAAAAb60/kSnraMBvrdU/s72-c/8.jpg)
RAIS FILIPE NYUSI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA CCM MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-7jbhDfn8owU/VVsujxlBJQI/AAAAAAAAb60/kSnraMBvrdU/s640/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hNFaFmxTV_I/VVsuggMd1vI/AAAAAAAAb6k/qP0CMrNjNbk/s640/10.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZpLt0JD2SfY/VVsuij09KpI/AAAAAAAAb6s/GwhDJu7CSmU/s640/11.jpg)