UHAKIKI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI KUANZA MACHI 17 MWAKA HUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-cANHcLrwK_4/Xme4gTIUSyI/AAAAAAACIew/OclqUXp5y8MgZHVASiApeSppeg8HT3eZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200310_183837_760.jpg)
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Mstaafu, Francis Mutungi akifafanua jambo wakati wa Mkutano wake na Viongozi Wakuu wa Vyama vya Siasa kuhusu Uhakiki wa Vyama vya Siasa nchini unaotarajiwa kufanyika nchini kuanzia Machi 17, 2020 kwa lengo la kuimarisha uhai wa vyama hivyo.
Na Mwandishi Maalum
MSAJILI wa Vyama vya Siasa Nchini, Jaji Mstaafu Francis Mutungi amesema zoezi la uhakiki wa vyama vya siasa linalotarajia kuanza Machi 17, mwaka huu, halina malengo ya kufuta usajili wa vyama...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziUHAKIKI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI KUANZA MACHI 17,2020,MSAJILI ASEMA HAKUNA CHAMA KITAKACHOFUTWA
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini (RPP), Mhe .Jaji Mstaafu, Francis Mutungi akifafanua jambo wakati wa Mkutano wake na Viongozi Wakuu wa Vyama vya Siasa kuhusu zoezi la Uhakiki wa Vyama vya Siasa nchini. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini (ORPP) inatarajia kufanya zoezi la uhakiki wa Vyama vya Siasa nchini kuanzia tarehe 17 Machi, 2020 kwa lengo la kuimarisha uhai wa vyama hivyo.Pichani juu kulia ni Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa Nchini, Sisty Nyahoza na kushoto ni Naibu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8mSeXXGeGhw/XnEbP2vQpOI/AAAAAAALkLs/cIVV2yqEsLYlllRm5B2w5jq9K8VwBO09QCLcBGAsYHQ/s72-c/U0.jpg)
Zoezi la Uhakiki Vyama vya Siasa Laanza kwa Mafanikio
![](https://1.bp.blogspot.com/-8mSeXXGeGhw/XnEbP2vQpOI/AAAAAAALkLs/cIVV2yqEsLYlllRm5B2w5jq9K8VwBO09QCLcBGAsYHQ/s640/U0.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/U1a.jpg)
5 years ago
CCM Blog04 Apr
UHAKIKI WA VYAMA VYA SIASA WAHITIMISHWA KWA KUIHAKIKI CCM, MAKAO MAKUU DODOMA
![](http://blog.maelezo.go.tz/wp-content/uploads/2020/04/CCM1b.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akielezea jambo mbele ya ugeni kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa (ORPP) walipomtembelea ofisini kwake wakati wa zoezi la uhakiki wa uhai wa vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu katika Ofisi ya Makao Mkuu ya Chama hicho jijini Dodoma leo. Kutoka kushoto ni Katibu wa NEC – Oganaizesheni wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Pereira Ami Silima, Mkuu wa Kitengo cha Usajili wa Vyama vya Siasa, Muhidin Mapeyo na Msajili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LGNPowyI8OU/Xoc6fiIkWQI/AAAAAAALl8c/jJLrYaWGQEYdOHgEFeng5V6pxPdylrIvgCLcBGAsYHQ/s72-c/CCM1a.jpg)
ZOEZI LA UHAKIKI VYAMA VYA SIASA LAKAMILIKA KWA KUHAKIKI CHAMA CHA MAPINDUZI MAKAO MAKUU DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LGNPowyI8OU/Xoc6fiIkWQI/AAAAAAALl8c/jJLrYaWGQEYdOHgEFeng5V6pxPdylrIvgCLcBGAsYHQ/s640/CCM1a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/CCM1b.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akielezea jambo mbele ya ugeni kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa (ORPP) walipomtembelea ofisini kwake ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iDVZ1uHpYUw/VTc1GIIg1lI/AAAAAAAHSao/BNrQ3FnD17U/s72-c/images.jpg)
UFAFANUZI WA ZOEZI LA UHAKIKI WA VYAMA VYA KIJAMII NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-iDVZ1uHpYUw/VTc1GIIg1lI/AAAAAAAHSao/BNrQ3FnD17U/s1600/images.jpg)
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu zoezi linaloendelea kuhusiana na Vyama vya Kijamii vilivyosajiliwa chini ya Sheria ya Vyama, Sura 337 kuwa ni la kubaini vyama vile ambavyo havitekelezi matakwa ya kisheria ya kuwasilisha taarifa za mwaka za ukaguzi wa hesabu za vyama husika na pia vile ambavyo havilipi ada ya mwaka kama sheria ya Vyama inavyoelezea.
Vyama ambavyo vitabainika kukiuka matakwa ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGa0Y6kLfZla91oqfmkX7w6XfoZdF-i6o-K1i5EBO8j9GeqCxhzlIQnp3-EF77F3P4P-9rBrLEwU3ArjG3ZGt48n/1.jpg?width=650)
9 years ago
VijimamboMSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mbMo2RIkhrk/XnN-DtAnxMI/AAAAAAALkdY/0Vq_LBXoi70sQjqjAitQuaYrAUCi-9jrwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA-%2BOFISI%2BYA%2BMSAJILI%2BWA%2BVYAMA%2BVYA%2BSIASA.jpg)
9 years ago
StarTV07 Nov
Jeshi la Polisi nchini lapiga marufuku maandamano ya vyama vya Siasa nchini.
Jeshi la Polisi nchini limepiga marufuku ombi la maandamano la baadhi ya vyama vya siasa nchini baada ya uchunguzi wake kubaini kuwepo na mihemko ya kisiasa ndani ya jamii inayoweza kusababisha uvunjifu wa amani.
Kutokana na hali hiyo, jeshi hilo linasema litaendelea kushikilia msimamo wake wa awali wa kuzuia mikutano na maandamano yeyote mpaka hali itakapotengemaa.
Kauli ya Jeshi imefatia baada ya baadhi ya vyama vya siasa kuwasilisha kuwasilisha ombi la kufanya mikutano ya hadhara na...