UHAKIKI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI KUANZA MACHI 17,2020,MSAJILI ASEMA HAKUNA CHAMA KITAKACHOFUTWA
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini (RPP), Mhe .Jaji Mstaafu, Francis Mutungi akifafanua jambo wakati wa Mkutano wake na Viongozi Wakuu wa Vyama vya Siasa kuhusu zoezi la Uhakiki wa Vyama vya Siasa nchini. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini (ORPP) inatarajia kufanya zoezi la uhakiki wa Vyama vya Siasa nchini kuanzia tarehe 17 Machi, 2020 kwa lengo la kuimarisha uhai wa vyama hivyo.Pichani juu kulia ni Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa Nchini, Sisty Nyahoza na kushoto ni Naibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cANHcLrwK_4/Xme4gTIUSyI/AAAAAAACIew/OclqUXp5y8MgZHVASiApeSppeg8HT3eZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200310_183837_760.jpg)
UHAKIKI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI KUANZA MACHI 17 MWAKA HUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-cANHcLrwK_4/Xme4gTIUSyI/AAAAAAACIew/OclqUXp5y8MgZHVASiApeSppeg8HT3eZQCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200310_183837_760.jpg)
Na Mwandishi Maalum
MSAJILI wa Vyama vya Siasa Nchini, Jaji Mstaafu Francis Mutungi amesema zoezi la uhakiki wa vyama vya siasa linalotarajia kuanza Machi 17, mwaka huu, halina malengo ya kufuta usajili wa vyama...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mPNKZ1VMfhM/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGa0Y6kLfZla91oqfmkX7w6XfoZdF-i6o-K1i5EBO8j9GeqCxhzlIQnp3-EF77F3P4P-9rBrLEwU3ArjG3ZGt48n/1.jpg?width=650)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/1.2.jpg)
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATOA TAMKO KUHUSU CHAMA CHA TPP
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LGNPowyI8OU/Xoc6fiIkWQI/AAAAAAALl8c/jJLrYaWGQEYdOHgEFeng5V6pxPdylrIvgCLcBGAsYHQ/s72-c/CCM1a.jpg)
ZOEZI LA UHAKIKI VYAMA VYA SIASA LAKAMILIKA KWA KUHAKIKI CHAMA CHA MAPINDUZI MAKAO MAKUU DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LGNPowyI8OU/Xoc6fiIkWQI/AAAAAAALl8c/jJLrYaWGQEYdOHgEFeng5V6pxPdylrIvgCLcBGAsYHQ/s640/CCM1a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/CCM1b.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akielezea jambo mbele ya ugeni kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa (ORPP) walipomtembelea ofisini kwake ...
9 years ago
VijimamboMSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mbMo2RIkhrk/XnN-DtAnxMI/AAAAAAALkdY/0Vq_LBXoi70sQjqjAitQuaYrAUCi-9jrwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA-%2BOFISI%2BYA%2BMSAJILI%2BWA%2BVYAMA%2BVYA%2BSIASA.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidVMp1-8bEVb6urxoJPjhWOk8Q1VCt3iuWrcA04t4rXEw9KLYaiITVxaF8EsOAI42C8i2VbU*L-NhcH-TN7pfYSF/Dovutwa.jpg?width=650)
DOVUTWA: HAKUNA URAFIKI KATIKA VYAMA VYA SIASA ASEMA KINACHOWAZUIA NI RUZUKU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8mSeXXGeGhw/XnEbP2vQpOI/AAAAAAALkLs/cIVV2yqEsLYlllRm5B2w5jq9K8VwBO09QCLcBGAsYHQ/s72-c/U0.jpg)
Zoezi la Uhakiki Vyama vya Siasa Laanza kwa Mafanikio
![](https://1.bp.blogspot.com/-8mSeXXGeGhw/XnEbP2vQpOI/AAAAAAALkLs/cIVV2yqEsLYlllRm5B2w5jq9K8VwBO09QCLcBGAsYHQ/s640/U0.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/U1a.jpg)