MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATOA TAMKO KUHUSU CHAMA CHA TPP
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/1.2.jpg)
Msajili msaidizi upande wa usajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza, akitoa taarifa yake kwa wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakichukua tukio hilo. Wanahabari wakimsikiliza kwa makini, msaidizi upande wa usajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza. ... Nyahoza akitoa ufafanuzi wa jambo, kulia kwake ni, Mkurugenzi Utawala na Raslimali Watu, Emmanuel Kayuni kutoka ofisi ya msajili wa vyama vya siasa. (PICHA NA DENIS...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mPNKZ1VMfhM/default.jpg)
9 years ago
VijimamboMSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mbMo2RIkhrk/XnN-DtAnxMI/AAAAAAALkdY/0Vq_LBXoi70sQjqjAitQuaYrAUCi-9jrwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA-%2BOFISI%2BYA%2BMSAJILI%2BWA%2BVYAMA%2BVYA%2BSIASA.jpg)
9 years ago
Mtanzania08 Sep
Msajili akionya Chama cha TPP
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
SERIKALI imekionya Chama cha Tanzania Peoples (TPP) kuacha mara moja kujishughulisha na shughuli za kisiasa kwa sababu hakina usajili na kuendelea kufanya hivyo kinavunja sheria.
Akizungumza jijini Dar es Salaam na waandishi wa habari jana, Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, alisema vyama vilivyosajiliwa ndivyo vinavyopaswa kuendelea na shughuli mbalimbali za kisiasa kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi mkuu ujao unaotarajiwa kufanyika...
5 years ago
MichuziUHAKIKI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI KUANZA MACHI 17,2020,MSAJILI ASEMA HAKUNA CHAMA KITAKACHOFUTWA
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini (RPP), Mhe .Jaji Mstaafu, Francis Mutungi akifafanua jambo wakati wa Mkutano wake na Viongozi Wakuu wa Vyama vya Siasa kuhusu zoezi la Uhakiki wa Vyama vya Siasa nchini. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini (ORPP) inatarajia kufanya zoezi la uhakiki wa Vyama vya Siasa nchini kuanzia tarehe 17 Machi, 2020 kwa lengo la kuimarisha uhai wa vyama hivyo.Pichani juu kulia ni Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa Nchini, Sisty Nyahoza na kushoto ni Naibu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hf0dTrm3o94/UxljbNqsXSI/AAAAAAACbxk/K2a69IkN1lQ/s72-c/IMG_7284.jpg)
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AZUNGUMZA NA WANAHABARI MJINI IRINGA LEO KUHUSU UCHAGUZI WA JIMBO LA KALENGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-hf0dTrm3o94/UxljbNqsXSI/AAAAAAACbxk/K2a69IkN1lQ/s1600/IMG_7284.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-r4k8IbczM2M/UxljVIAWppI/AAAAAAACbxc/ZX0IqIzw4UU/s1600/IMG_7273.jpg)
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-hf0dTrm3o94/UxljbNqsXSI/AAAAAAACbxk/K2a69IkN1lQ/s1600/IMG_7284.jpg)
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AZUNGUMZA NA WANAHABARI MJINI IRINGA LEO KUHUSU UCHAGUZI WA JIMBO LA KALENGA