ZOEZI LA UHAKIKI VYAMA VYA SIASA LAKAMILIKA KWA KUHAKIKI CHAMA CHA MAPINDUZI MAKAO MAKUU DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LGNPowyI8OU/Xoc6fiIkWQI/AAAAAAALl8c/jJLrYaWGQEYdOHgEFeng5V6pxPdylrIvgCLcBGAsYHQ/s72-c/CCM1a.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally Kakurwa (kulia) akiteta jambo na Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa (ARPP), Sisty Nyahoza wakati wa zoezi la uhakiki wa uhai wa vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu katika Ofisi ya Makao Mkuu ya Chama hicho jijini Dodoma leo.
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akielezea jambo mbele ya ugeni kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa (ORPP) walipomtembelea ofisini kwake ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog04 Apr
UHAKIKI WA VYAMA VYA SIASA WAHITIMISHWA KWA KUIHAKIKI CCM, MAKAO MAKUU DODOMA
![](http://blog.maelezo.go.tz/wp-content/uploads/2020/04/CCM1b.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akielezea jambo mbele ya ugeni kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa (ORPP) walipomtembelea ofisini kwake wakati wa zoezi la uhakiki wa uhai wa vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu katika Ofisi ya Makao Mkuu ya Chama hicho jijini Dodoma leo. Kutoka kushoto ni Katibu wa NEC – Oganaizesheni wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Pereira Ami Silima, Mkuu wa Kitengo cha Usajili wa Vyama vya Siasa, Muhidin Mapeyo na Msajili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8mSeXXGeGhw/XnEbP2vQpOI/AAAAAAALkLs/cIVV2yqEsLYlllRm5B2w5jq9K8VwBO09QCLcBGAsYHQ/s72-c/U0.jpg)
Zoezi la Uhakiki Vyama vya Siasa Laanza kwa Mafanikio
![](https://1.bp.blogspot.com/-8mSeXXGeGhw/XnEbP2vQpOI/AAAAAAALkLs/cIVV2yqEsLYlllRm5B2w5jq9K8VwBO09QCLcBGAsYHQ/s640/U0.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/U1a.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jjCncTnXX8I/Xp2nnn-zvTI/AAAAAAALnk0/BQBg94azfSMw1hOGnBfyotODZzEd-fQogCLcBGAsYHQ/s72-c/S1.jpg)
VYAMA VYA SIASA VYATAKIWA KUWA NA OFISI NDOGO ZA MAKAO MAKUU JIJINI DODOMA
Na: Mwandishi Wetu - ORPP
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini ametoa wito kwa vyama vya siasa kufungua ofisi za makao makuu Jijini Dodoma kwa kuwa ndiyo makao makuu ya serikali.
Wito huo umetolea na Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, alipotembelea ofisi ndogo za makao makuu ya Chama cha Wakulima (AAFP) jijini Dodoma hivi karibuni.
Nyahoza alisema kuwa Vyama vyote vya Siasa vinatakiwa kuwa na ofisi za makao makuu jijini Dodoma kwa kuwa ndiko shughuli zote za serikali...
5 years ago
MichuziUHAKIKI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI KUANZA MACHI 17,2020,MSAJILI ASEMA HAKUNA CHAMA KITAKACHOFUTWA
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini (RPP), Mhe .Jaji Mstaafu, Francis Mutungi akifafanua jambo wakati wa Mkutano wake na Viongozi Wakuu wa Vyama vya Siasa kuhusu zoezi la Uhakiki wa Vyama vya Siasa nchini. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini (ORPP) inatarajia kufanya zoezi la uhakiki wa Vyama vya Siasa nchini kuanzia tarehe 17 Machi, 2020 kwa lengo la kuimarisha uhai wa vyama hivyo.Pichani juu kulia ni Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa Nchini, Sisty Nyahoza na kushoto ni Naibu...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mPNKZ1VMfhM/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iDVZ1uHpYUw/VTc1GIIg1lI/AAAAAAAHSao/BNrQ3FnD17U/s72-c/images.jpg)
UFAFANUZI WA ZOEZI LA UHAKIKI WA VYAMA VYA KIJAMII NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-iDVZ1uHpYUw/VTc1GIIg1lI/AAAAAAAHSao/BNrQ3FnD17U/s1600/images.jpg)
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu zoezi linaloendelea kuhusiana na Vyama vya Kijamii vilivyosajiliwa chini ya Sheria ya Vyama, Sura 337 kuwa ni la kubaini vyama vile ambavyo havitekelezi matakwa ya kisheria ya kuwasilisha taarifa za mwaka za ukaguzi wa hesabu za vyama husika na pia vile ambavyo havilipi ada ya mwaka kama sheria ya Vyama inavyoelezea.
Vyama ambavyo vitabainika kukiuka matakwa ya...
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
Serikali kuanza zoezi la kuhakiki vyama vya kijamii
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Isack Nantanga akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Na Frank Mvungi
Serikali imedhamiria kuanza zoezi la kuhakiki vyama vya kijamii ili kuboresha huduma zinazotolewa na vyama hivyo hapa nchini tangu kuanzishwa kwake.
Hayo ya mesemwa leo Jijini Dar es salaam na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi Bw. Isack Nantanga wakati wa mkutano na waandishi wa habari .
Katika kuboresha huduma na usimamizi wa vyama vya...
10 years ago
Habarileo11 Sep
Msajili kuhakiki wanachama vyama vya siasa
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, inatarajia kufanya uhakiki wa wanachama wa vyama vyote vya siasa kupata takwimu sahihi ya idadi yao.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/1.2.jpg)
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATOA TAMKO KUHUSU CHAMA CHA TPP