Serikali kuanza zoezi la kuhakiki vyama vya kijamii
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Isack Nantanga akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Na Frank Mvungi
Serikali imedhamiria kuanza zoezi la kuhakiki vyama vya kijamii ili kuboresha huduma zinazotolewa na vyama hivyo hapa nchini tangu kuanzishwa kwake.
Hayo ya mesemwa leo Jijini Dar es salaam na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi Bw. Isack Nantanga wakati wa mkutano na waandishi wa habari .
Katika kuboresha huduma na usimamizi wa vyama vya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouupBItq8xL1dee-eJAHvWR2VuigwFnH2qFt8SXIkbae1FQYj2LitHd5JWfthKLxzul83kInvLWQ6y8N6bShvDhg5/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png?width=650)
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KUANZA ZOEZI LA KUHAKIKI VYAMA VYA KIJAMII HAPA NCHINI MWEZI UJAO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-82roOvJjwwY/VBZo388HrTI/AAAAAAAGjoU/xQ_zWOGHXs4/s72-c/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
NEWS ALERT: WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KUANZA ZOEZI LA KUHAKIKI VYAMA VYA KIJAMII HAPA NCHINI MWEZI UJAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-82roOvJjwwY/VBZo388HrTI/AAAAAAAGjoU/xQ_zWOGHXs4/s1600/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Pamoja na mambo mengine, zoezi hili linalenga kuvifuta kutoka katika daftari la Msajili vya Vyama vya Kijamii vyama ambavyo vitabainika kuwa havina sifa tena ya kuendelea kuwa katika daftari hilo.
Vigezo ambavyo vinaweza kusababisha chama kufutwa kutoka katika Daftari la Msajili wa Vyama vya Kijamii ni pamoja na kutolipa ada za mwaka kwa wakati na kutowasilisha kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iDVZ1uHpYUw/VTc1GIIg1lI/AAAAAAAHSao/BNrQ3FnD17U/s72-c/images.jpg)
UFAFANUZI WA ZOEZI LA UHAKIKI WA VYAMA VYA KIJAMII NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-iDVZ1uHpYUw/VTc1GIIg1lI/AAAAAAAHSao/BNrQ3FnD17U/s1600/images.jpg)
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu zoezi linaloendelea kuhusiana na Vyama vya Kijamii vilivyosajiliwa chini ya Sheria ya Vyama, Sura 337 kuwa ni la kubaini vyama vile ambavyo havitekelezi matakwa ya kisheria ya kuwasilisha taarifa za mwaka za ukaguzi wa hesabu za vyama husika na pia vile ambavyo havilipi ada ya mwaka kama sheria ya Vyama inavyoelezea.
Vyama ambavyo vitabainika kukiuka matakwa ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LGNPowyI8OU/Xoc6fiIkWQI/AAAAAAALl8c/jJLrYaWGQEYdOHgEFeng5V6pxPdylrIvgCLcBGAsYHQ/s72-c/CCM1a.jpg)
ZOEZI LA UHAKIKI VYAMA VYA SIASA LAKAMILIKA KWA KUHAKIKI CHAMA CHA MAPINDUZI MAKAO MAKUU DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LGNPowyI8OU/Xoc6fiIkWQI/AAAAAAALl8c/jJLrYaWGQEYdOHgEFeng5V6pxPdylrIvgCLcBGAsYHQ/s640/CCM1a.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/CCM1b.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akielezea jambo mbele ya ugeni kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa (ORPP) walipomtembelea ofisini kwake ...
10 years ago
Habarileo23 Apr
Orodha vyama vya kijamii vitakavyofutwa kuanza kutolewa
WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wakati wowote wiki hii itaanza kutoa orodha ya vyama vya kijamii vitakavyofutwa kwa kuanzia na mkoa wa Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi27 Apr
10 years ago
Habarileo11 Sep
Msajili kuhakiki wanachama vyama vya siasa
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, inatarajia kufanya uhakiki wa wanachama wa vyama vyote vya siasa kupata takwimu sahihi ya idadi yao.
10 years ago
Michuzi15 May