WAANDISHI WA HABARI WAPIGA KAMBI NDANI YA CCM MAKAO MAKUU, DODOMA
Waandishi wa Vyombo mbali mbali vya habari nchini Tanzania walioweka kambi kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Dodoma kwa ajili ya kutoa taarifa za vikao mbali mbali vinavyopendelea ili kumpata mgombea Urais wa Mwaka 2015 kupitia chama hicho.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 May
Rais Nyusi atembelea makao makuu ya CCM mjini Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-7jbhDfn8owU/VVsujxlBJQI/AAAAAAAAb60/kSnraMBvrdU/s640/8.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais wa Msumbiji Mhe.Filipe Jacinto Nyusi kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Dodoma.
![](http://4.bp.blogspot.com/-hNFaFmxTV_I/VVsuggMd1vI/AAAAAAAAb6k/qP0CMrNjNbk/s640/10.jpg)
Rais wa Msumbiji Mhe.Filipe Jacinto Nyusi akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana mara baada ya kuwasili kwenye Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZpLt0JD2SfY/VVsuij09KpI/AAAAAAAAb6s/GwhDJu7CSmU/s640/11.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7jbhDfn8owU/VVsujxlBJQI/AAAAAAAAb60/kSnraMBvrdU/s72-c/8.jpg)
RAIS FILIPE NYUSI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA CCM MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-7jbhDfn8owU/VVsujxlBJQI/AAAAAAAAb60/kSnraMBvrdU/s640/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hNFaFmxTV_I/VVsuggMd1vI/AAAAAAAAb6k/qP0CMrNjNbk/s640/10.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZpLt0JD2SfY/VVsuij09KpI/AAAAAAAAb6s/GwhDJu7CSmU/s640/11.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Sa--f2lCuj4/VZLAOCNXS1I/AAAAAAADvD4/rkfPRdwkbm8/s72-c/1.jpg)
MEMBE ARUDISHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS MAKAO MAKUU YA CCM DODOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Sa--f2lCuj4/VZLAOCNXS1I/AAAAAAADvD4/rkfPRdwkbm8/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5eeEPsz30lk/VZLAPb6LwqI/AAAAAAADvEE/C547FIVfgyI/s640/2.jpg)
5 years ago
CCM Blog04 Apr
UHAKIKI WA VYAMA VYA SIASA WAHITIMISHWA KWA KUIHAKIKI CCM, MAKAO MAKUU DODOMA
![](http://blog.maelezo.go.tz/wp-content/uploads/2020/04/CCM1b.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akielezea jambo mbele ya ugeni kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa (ORPP) walipomtembelea ofisini kwake wakati wa zoezi la uhakiki wa uhai wa vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu katika Ofisi ya Makao Mkuu ya Chama hicho jijini Dodoma leo. Kutoka kushoto ni Katibu wa NEC – Oganaizesheni wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Pereira Ami Silima, Mkuu wa Kitengo cha Usajili wa Vyama vya Siasa, Muhidin Mapeyo na Msajili...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XNwJfJD0zYA/U54Azu5AwRI/AAAAAAAFq5c/yaukuCeka-A/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Shamra shamra za kupokea wanachama wapya wa CCM ELIMU-UDOM Makao Makuu ya CCM Dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-XNwJfJD0zYA/U54Azu5AwRI/AAAAAAAFq5c/yaukuCeka-A/s1600/unnamed+(8).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lUyqF8qGHi4/XnJOZF1PTpI/AAAAAAALkWU/44bUxENF4zkOoMerw0RIqLyJmZpFFD3jgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AWAONGOZA WAJUMBE WA KAMATI YA BUNGE MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA KUPOKEA TAARIFA YA MRADI WA UJENZI MAKAO MAKUU YA NIDA JIJINI DODOMA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-lUyqF8qGHi4/XnJOZF1PTpI/AAAAAAALkWU/44bUxENF4zkOoMerw0RIqLyJmZpFFD3jgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jXtnJTM2doQ/XnJOZKxw_jI/AAAAAAALkWQ/jDWWERpQ8ogJRG12JhCm552lYV3rcZ1RQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Dodoma,makao makuu yasiyo na ukuu
11 years ago
Uhuru Newspaper08 Jul
RC alilia makao makuu yahamie Dodoma
NA THEODOS MGOMBA, DODOMA.
WAUMINI na viongozi wa dini mkoani hapa, wameombwa kuomba dua maalum ili azma ya serikali ya kuhamishia makao makuu Dodoma itimie.
Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi, alipokuwa akitoa salamu za mkoa kwenye mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa wanawake (UWT).
Mkuu huyo wa mkoa alisema ni vyema sasa kukawa na dua maalumu la kuombea uhamisho wa makao makuu kuwa Dodoma, kwani umekuwa wa muda mrefu sasa.
Alisema azma hiyo ya...
10 years ago
Habarileo03 Feb
Serikali yahimizwa kuhamishia makao makuu Dodoma
SERIKALI imesisitiza agizo lake la kusitisha ujenzi wa ofisi za wizara na taasisi zake katika jiji la Dar es Salaam badala yake uelekezwe mjini Dodoma, ikiwa ni hatua ya kuhamishia makao makuu mjini hapa.